Hapa Jaji Damian Lubuva yeye analetewa taarifa tu za upigaji kura hivyo jukumu letu wapiga kura/wadau kuhoji inakuwaje kura halali za Ubunge zilizopigwa zikawa na tofauti kubwa na kura ''halali za Urais'' kuanzia ktk ngazi ya kituo, jimbo mpaka Taifa NEC.
Nina hakika kama Jaji Lubuva + NEC akibanwa kuhusu matokeo hayo kwa evidence basi lawama zitawaendea aliopiga bao la mkono na yeye Jaji Lubuva anaweza kuchukua maamuzi mazito kama Mh. Jecha wa ZEC.
Lakini ikiwa wadau hatuji na evidence yeye Jaji Lubuva atandelea kusoma matokeo 'rasmi'' , maana tumeona jinsi Maalim Seif alivyokuja na evidence za takwimu mpaka Mwenyekiti wa ZEC akabwaga manyanga na mbeleko ya kukibeba chama tawala.
Nina hakika kama Jaji Lubuva + NEC akibanwa kuhusu matokeo hayo kwa evidence basi lawama zitawaendea aliopiga bao la mkono na yeye Jaji Lubuva anaweza kuchukua maamuzi mazito kama Mh. Jecha wa ZEC.
Lakini ikiwa wadau hatuji na evidence yeye Jaji Lubuva atandelea kusoma matokeo 'rasmi'' , maana tumeona jinsi Maalim Seif alivyokuja na evidence za takwimu mpaka Mwenyekiti wa ZEC akabwaga manyanga na mbeleko ya kukibeba chama tawala.