Elfu kumi tatu ni wa ccm, wanaobaki huipigia kura chadema, kidogo ACT. Ikitokea uchaguzi ukafanyika wazi na haki chadema itaongoza ikifuatiwa na ccm, halafu ACT wazalendo. Mchuano utakuwa wa vyama vitatu tu, vingine vitaishia kupata kura chache kwani havina wanachama na wapiga kura wao wengi. CHAUMMA bado ushawishi wao hauonekani na hujulikani licha ya kupata mvumo wa ghafla kipindi hiki cha kupokea waliokuwa makada wa chadema