sir venance
Senior Member
- Oct 26, 2017
- 151
- 222
Kwa mujibu wa wanafunzi wa chuo kikuu cha newcastle cha nchini uingereza kupitia utafiti wao, walibaini kuwa idadi ya bacteria waliopo katika kinywa cha binadamu ni zaidi ya idadi ya binadamu wote waliopo duniani,madaktari njoeni mtupe darasa hapa kidogo,