watu wengi sana wa ICT programmers na software engineer wanashindwa kutangaza kazi zao MARKETING ni tatizo kwao
Ahahahaa i lik it😅😅😅😅😅Mkuu option ya "New Post" sio lazima sana kuitumia kama una stress au bado haujajipanga.
Mkuu option ya "New Post" sio lazima sana kuitumia kama una stress au bado haujajipanga.
Thread maked as spam....
kosa liko wapi tuna watu wazuri wa program lakini kazi zao wana fail kuzitangaza
ww nilikuwa nakutafuta sana nahisi ni miongoni mwao
am interesting in marketing as well as ict so mi nmekuelewa but nafkri ulitakiwa kujazia nyama kidogo kwenye thread yako ili wadau wakusome vizuri ni hayo tu mkuu!!:tape2:watu wengi sana wa ICT programmers na software engineer wanashindwa kutangaza kazi zao MARKETING ni tatizo kwao
nashukuru kwa kunielewa kweli we genius hao wanao taka notisi za kutosha wajue to LIVE FAST DIE YOUNGam interesting in marketing as well as ict so mi nmekuelewa but nafkri ulitakiwa kujazia nyama kidogo kwenye thread yako ili wadau wakusome vizuri ni hayo tu mkuu!!:tape2:
sijui ndo umepost nini hapa, hili jukwaa ni kati ya majukwaa machache siriaz hapa JF, vitu nonsense nenda kapost chitchat,celebrity,mmu,etc
Kaanzisha thread akiwa ofisini (kazini) halafu boss kaingia ghafla jamaa akajikausha!Mkuu option ya "New Post" sio lazima sana kuitumia kama una stress au bado haujajipanga.