Icheck hii picha up-side-down

Icheck hii picha up-side-down

Baba Kapompo

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
1,344
Reaction score
468
65210_203516466456811_1207934572_n.jpg
 
Dahhh...Baada ya kuichek upside down, nilivyo resume ya mwanzo imenichukua kama dakika 2 kumpta mzee wa mwanzo....Fantastic
 
B4 six beer aliona kibiki kizee! Aftr 6 beer kaona kigoli! Kwel ulev nouma.
 
Ila kweli pombe ni noma, yaani kabla ya bia 6 ni kikongwe, akishapandisha bia 6 anajiona ni mrembo/queen
 
mara ya kwanza kuiona hii ilikuwa 2002,
aisee umenikumbusha mbali, nilikuwa nawafanyia watu waone kama mazingaombwe bibi kuwa kijana.
daah!
 
Back
Top Bottom