ice-USA, mwenye uelewa, sijaelewa!

ice-USA, mwenye uelewa, sijaelewa!

Hawapewi due process.

Kabla hujaondolewa lazima upewe nafasi ya kusikilizwa kesi yako mahakamani kwasababu kuna njia nyingi za kupata uraia, kila mtu ana kesi yake.

Hata haki ya kutumia mwanasheria hawapewi. Kwahiyo ni changamoto.

duh, yaani mtu kavunja sheria ya nchi na kaingia kwenye nchi ya watu illegally halafu lazima apewe haki ya kusikilizwa? watu illegal ni wavamizi kwa kawaida wanapaswa kuzuiwa na kurudishwa mipakani na kama wakigoma wanaweza hata kuwa shot na walinzi wa mipaka na hakuna kesi kwa maana ni wavamizi, nielewavyo mimi kwa nchi nyingi duniani mvamiaji hana haki zaidi ya kukamatwa na kurudishwa alikotoka, hata tanzagiza ni hivyo ...
 
duh, yaani mtu kavunja sheria ya nchi na kaingia kwenye nchi ya watu illegally halafu lazima apewe haki ya kusikilizwa? watu illegal ni wavamizi kwa kawaida wanapaswa kuzuiwa na kurudishwa mipakani na kama wakigoma wanaweza hata kuwa shot na walinzi wa mipaka na hakuna kesi kwa maana ni wavamizi, kwa nielewavyo mimi kwa nchi nyingi duniani, mvamiaji hana haki zaidi ya kukamtwa na kurudishwa alikotoka, hata tanzagiza ni hivyo ...
Marekani na Ulaya walishavuka hiko kiwango cha kufanya mambo kienyeji kama jiwe na Tanzagiza kwa mtu yoyote aliye ndani ya mipaka ya nchi yao, Trump ndio anataka kuwarudisha kwenye huu ujinga.
 
ICE kule Marekani ni kifupi cha U.S. Immigration and Customs Enforcement — yaani Idara ya Utekelezaji wa Sheria za Uhamiaji na Forodha ya Marekani.

Kwa ufupi, ICE hufanya kazi hizi kuu:

  • Kusimamia sheria za uhamiaji: Kuwabaini, kuwakamata, na kuwaondoa (kurejesha) wahamiaji wasio na vibali halali.
  • Kupambana na uhalifu wa kuvuka mipaka: Kama usafirishaji haramu wa binadamu, dawa za kulevya, silaha, na bidhaa bandia.
  • Kulinda usalama wa taifa: Kuchunguza makosa yanayohusiana na ugaidi, fedha haramu, na uhalifu wa kimataifa.
ICE iko chini ya Idara ya Usalama wa Ndani ya Marekani (Department of Homeland Security – DHS).

Kimsingi, ICE sio idara ya kutoa visa au uraia; kazi hizo ziko kwa USCIS. ICE inalenga zaidi utekelezaji wa sheria.
Swali lililoulizwa lingekuwa mtihani ungeambulia zero na kuanza kulalamika kwamba umeonewa!
 
Marekani na Ulaya walishavuka hiko kiwango cha kufanya mambo kienyeji kama jiwe na Tanzagiza kwa mtu yoyote aliye ndani ya mipaka ya nchi yao, Trump ndio anataka kuwarudisha kwenye huu ujinga.

kwa nini sasa hawaishitaki serikali ya D.Trump kwa maana USA mtu yoyote yule anaweza kufungua kesi na hili zoezi kama ni kinyume cha sheria mahakama za USA zina uwezo wa kulisimamisha mara moja, kwa nini hawafanyi hivyo sasa kama ni kuna sheria hao ice wanavunja? kwa nini fujo na maandamano wakati mahakama zipo...
 
Wageni wanaua wakristo U.S

ICE ipo kulinda wakristo,Western Christian system na ku fight against communists.

Tuwaunge mkono ICE mtumishi wanakomesha jihadists na communists

Wewe ndio chenga kabisa 🤣🤣🤣
 
kwa nini sasa hawaishitaki serikali ya D.Trump kwa maana USA mtu yoyote yule anaweza kufungua kesi na hili zoezi kama ni kinyume cha sheria mahakama za USA zina uwezo wa kulisimamisha mara moja, kwa nini hawafanyi hivyo sasa kama ni kuna sheria hao ice wanavunja? kwa nini fujo na maandamano wakati mahakama zipo...
Kesi zimeshafunguliwa baadhi ya majimbo. Wanaandamana kupinga wanaokamatwa sasa.
 
Kesi zimeshafunguliwa baadhi ya majimbo. Wanaandamana kupinga wanaokamatwa sasa.

duh, kwa hiyo ina maana yoyote anayeweza kuvuka boda ni ruksa kuishi USA? hakuna hata limit? mfano afrika tuko > 1 billion people, kwa hiyo theoretically kama waafrika milioni 500 tukiweza kuvuka boda na kuingia USA ni ruksa kubakia huko? ni watu wangapi sasa hiyo USA inaweza kuchukuwa, dunia nzima? ...
 
duh, kwa hiyo ina maana yoyote anayeweza kuvuka boda ni ruksa kuishi USA? hakuna hata limit? mfano afrika tuko > 1 billion people, kwa hivo theoretically kama waafrika milioni 500 tukiweza kuvuka boda na kuingia USA ni ruksa kubakia huk? ni watu wangapi sasa hiyo USA inaweza kuchukuwa, dunia nzima?
Waafrika tunavukaje boda wakati US ni mbali vile. Wanaovuka boda ni wamexico na wacanada. Boda ina ulinzi mkali sana haupiti piti tu.

Sisi mpaka uombe visa.
 
Sasa kwa sababu Wamarekani wengi hawajazoea na hawapendi uonevu kama huo ndipo unaona hizo vurugu zote raia wakiliamsha, sio kama bongo mtu atakuja achukuliwe tu kwenye bus, bar, kazini au nyumbani kwake bila utambulisho na maelezo ya kueleweka halafu wanaomzunguka wakae kimya wamejikunyata.
Ongeza pia kila sehemu kuna Sheria zake, mfano Bangi Marekani kuna sehemu sheria inaruhusu unaweza kuvuta popote ila kuna sehemu ukienda ukavuta babaake unaingia matatani ni haramu ni sawa ukachinje Nguruwe Saudi Arabia pembeni ya mSikiti hawatokuacha salama
 
Waafrika tunavukaje boda wakati US ni mbali vile. Wanaovuka boda ni wamexico na wacanada. Boda ina ulinzi mkali sana haupiti piti tu.

Sisi mpaka uombe visa.

yeah naelewa na ndiyo maana nikaandika theoretically au kinadharia, kwa maana kwa mujibu wa maelezo ya wadau hapa ni kwamba yoyote anayeweza kuvuka boda ni ruhusa kuishi huko, hivyo kama watu milioni 500 wakivuka boda wote ni ruhusa kuishi huko kwa maana yoyote anaweza kuingia bila ya kuzuia na kutetewa asiondolewe, ndicho nilichomaanisha, kama hiyo ndiyo sheria yao huko USA basi hakuna nchi hapo ...
 
Ongeza pia kila sehemu kuna Sheria zake, mfano Bangi Marekani kuna sehemu sheria inaruhusu unaweza kuvuta popote ila kuna sehemu ukienda ukavuta babaake unaingia matatani ni haramu ni sawa ukachinje Nguruwe Saudi Arabia pembeni ya mSikiti hawatokuacha salama

wanawasubiri ice minnesota, duh kazi ipo ...

1768814838125.png
 
asante kwa maelezo mazuri kwa hiyo wako kwa mujibu wa sheria za USA sasa tatizo liko wapi, kwa nini wanwazuiwa wasifanya kazi zao kwa maandamano na fujo za kila aina wakati wako kwa mujibu wa sheria na wanafwata sheria? ...
Wengi wanaosndamana wapo legally ila wana ndugu zao wengi tu wako illegally. Unakuta mama yupo illegally ila ana watoto wapo legally au kinyume chake.
 
Back
Top Bottom