PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,142
Reaction score
162,538
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watawala.

Kwahiyio, ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
 
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watala.

ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
Gentleman,
ICC haideal na mambo ya porojo au uzushi useless na nonsense kama unavyofikiria.

ICC ni open world institutions,
mambo yake yote inayokusudia kuyafanya yako wazi kwenye portal yake ambayo iko updated daily, na nchi ambazo ziko kwenye uchunguzi wa uzushi wa ukiukaji wa haki za binadamu zimeorodheshwa kwa uwazi kabisa.

Ramli, uzushi na porojo nonsense za vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi haziwezi kuipeleka Tanzania ICC hata siku moja :NoGodNo:
 
Gentleman,
ICC haideal na mambo ya porojo au uzushi useless na nonsense kama unavyofikiria.

ICC ni open world institutions,
mambo yake yote inayokusudia kuyafanya yako wazi kwenye portal yake ambayo iko updated daily, na nchi ambazo ziko kwenye uchunguzi wa uzushi wa ukiukaji wa haki za binadamu zimeorodheshwa kwa uwazi kabisa.

Ramli, uzushi na porojo nonsense za vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi haziwezi kuipeleka Tanzania ICC hata siku moja :NoGodNo:
We Kibaraka wa wauaji toa porojo zako hapa.
 
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watala.

ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
Vuteni subra,tuzidi kusubiri kama alivyosubiriwa Robert Amsterdam miaka ileeeeeeeeee.
 
Tukiongelea ICC mnapaniki, utadhani sisio ndio tuliwatuma muue watanzania kama kuku.
hakuna kubabaika wala kupanic kwasababau ya porojo na uzushi useless & competently nonsense kuhusu wajibu, kazi na majukumu ya ICC gentleman,

zingatia maelezo yangu ya msingi hapo juu, na itakusaidia sana wewe na malofa wenzio msioelewa namna ya chombo hicho cha ulimwengu kinavyofanya kazi zake,
samahani kuwaita malofa kuhusu ICC :NoGodNo:
 
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watala.

ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
Kuwategemea ICC ni kujichelewesha huyu dawa yake ni kumuanzishia tena songombingo hadi aanze kupata hedhi tena japo alishakoma.
 
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watala.

ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
Hatuna haja tena ICC jeshi letu la TFF litaanza kazi soon
 
Gentleman,
ICC haideal na mambo ya porojo au uzushi useless na nonsense kama unavyofikiria.

ICC ni open world institutions,
mambo yake yote inayokusudia kuyafanya yako wazi kwenye portal yake ambayo iko updated daily, na nchi ambazo ziko kwenye uchunguzi wa uzushi wa ukiukaji wa haki za binadamu zimeorodheshwa kwa uwazi kabisa.

Ramli, uzushi na porojo nonsense za vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi haziwezi kuipeleka Tanzania ICC hata siku moja :NoGodNo:
Muda si mrefu mtaanza kulia kwa mtindo wa wauaji.
 
Unategemea wengine watoke, wewe ujaze viazi,vitunguu,nyanya nk ndani ukifiatilia na kuhamasisha mitandaoni
Anawachuza watoto wa watu wakafe yeye kaweka makalio juu ya kiti, halafu anaanzisha uzi wenye kusema Tanzania yashtakiwa ICC!.

Hana tofauti na Maria Sarungi kichwani, yeye yupo bongo huyo dada yuko ughaibuni.
 
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watala.

ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
Dunia nipo kwa Epstein Files poleni sana 🤣🤣🤣🤣
 
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watala.

ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
Mpaka siku mtoke kwenye utumwa wa kiakili kuona Mzungu hana msaada wa kweli kwa Mwafrika na tutajikomboa. Kwa akili hizi za kudhani eti Mzungu atajali shida zetu, mtachelewa sana!
Malizia kabisa 'Mungu Wabariki Wazungu ' kama wenzako
 
Back
Top Bottom