MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,607
Angalizo lako linaweza kuwa la kweli lakini kuna sababu: Viongozi wa Africa ndio mara nyingi hujifanya "Miungu watu, wang'ang'anizi wa madaraka na wavunjaji wakubwa wa haki za binadamu, ingawa sio peke yao. ICC inazo kesi nyingi toka sehemu mbali mbali duniani. Angalia picha na jihabarishe zaidi.Mahakama hii haina mashiko maana imekaa kwa ajili ya viongozi wa kiafrika tu.
ICC investigations (situation September 2011)
Green: Official investigations (Uganda, Congo, Central African Republic, Darfur (Sudan), Kenya, Libya, and Côte d'Ivoire)
Light red: Ongoing preliminary examinations (Afghanistan, Colombia, Guinea, Georgia, Honduras, Nigeria, Palestine and Korea
Dark red: Closed preliminary examinations (Iraq and Venezuela)
[Source: Wikipedia]