Ibrahim Lipumba aendelea na Ziara zake

Ibrahim Lipumba aendelea na Ziara zake

naona dalili za CHADEMA kuimarika zaidi baada ya Maalimu sefu kuiunga CHADEMA na kuchukuwa wengi wa wafuasi waliokuwa wa CUF bara na visiwani
 
haihitaji kuwa na phd kujua kinachoendelea kwanza mikutano ya kisiasa ilikomeshwa mpaka 2020
yeye anafanya tena kwa ulinzi wa polisi wa ccm....... unaweza kusema hii ruhusa kaipatia wapi na kwanini wakati watu walikuwa wanafwatwa hata vyumbani wakiwa wanamazungumzo na kuhangaishwa
Dah..Nilikuwa siamini kama idadi itafika 400,000 ....
 
Marufuku kufanya siasa mpaka 2020.
LIPUMBA awekwe ndani.
 
Hela alizopewa na maccm zina kipengele cha kujiabisha kisiasa mpaka adhalilike na kudharauliwa ndiyo ataachwa azitumie kwa uhuru, usicheze na hela za bure wewe
weka akiba ya maneno na usije ukabadili gia angani
 
Hela alizopewa na maccm zina kipengele cha kujiabisha kisiasa mpaka adhalilike na kudharauliwa ndiyo ataachwa azitumie kwa uhuru, usicheze na hela za bure wewe
Hata Lowassa mlimtukana weee, lakini hivi sasa ni boss wenu na mmeufyata
Chunga kauli zako.
Ha ha ha.
 
Prof Lipumba labda anafanya utafiti lakini pale anapo jihusisha na kufungua account mpya ya CUF hapo nimemuwekea alama ya ? Watanzania wengi tunaopenda kufuatilia siasa za Tanzania tuna mshangaa sana msomi huyu ambaye hatunzi kauli zake hivi hao wanao muunga mkono ni kwa lipi (Prof Limpumba does not keep his words as a public figure)
Kama kweli wewe ni mtanzania unaejinasibu kufuatilia siasa za Tanzania,ungeanza kuwashangaa chadema kwanza,kabla ya Lipumba
 
Oooh Lipumba analala ofisini hatoki anaogopa ofisi kutekwa,kiko wapi sasa?,kwa nini bavicha mnaumizwa sana na Lipumba kuliko kafu wenyewe?
 
CUF inanganganiwa huku na huku, sasa kwa hz nguvu mbili zinazoivuta CUF kama haitapusuka katikati mwaka huu sijui.

Vyovyote iwavyo pesa ina nguvu lakini haiwezi kuushinda moyo. Mioyo ya wengi najua inapenda upinzani wa kweli na nina imani kuna siku pesa itajitenga na ukweli na CUF salama inabakia.

Ni sawa na kuoa mwanamke kwa sababu kapenda hela yako, ila kumbe kuna jamaa yake wa ukweli anampenda, hata ufanyeje atachepuka tu kuridhisha moyo wake..

Nawashauri CUF warudi njia kuu,, mchepuko siyo deal😎😎
kula tano mkuu,
 
Back
Top Bottom