Ibrahim Lipumba aendelea na Ziara zake

Ibrahim Lipumba aendelea na Ziara zake

Acheni uongo hapo ni Rwanda bwana yule anafanya utafiti halafu mnatudanganya eti ni mkutano wa kisiasa?

Huo ni uchochezi kabisaa
 
Acheni uongo hapo ni Rwanda bwana yule anafanya utafiti halafu mnatudanganya eti ni mkutano wa kisiasa?

Huo ni uchochezi kabisaa
Utafiti wa interahamwe?huijui Rwanda wala hujui maana ya utafiti
 
View attachment 416490
Ni jambo jema kutambua kwa mwanasiasa muda gani ataihudumu siasa na muda gani atapaswa kuishi nje ya maisha ya kisiasa

Mwalim Ibrahim lipumba ameshindwa kung'amua......akiendelea na ziara zake

Duh!Naona kama anawalinzi watatu hana tofauti na MTUKUFU sana Rais wa Malaika kwa ulinzi anaopewa.
Ama kweli lisemwalo lipo kama halipo basi laja.Kama Lipumba anadhani watanzania ni wapumbavu basi ajue matusi hayo anayotutusi watanznaia kwa ujumla wetu atakuja kuyavuna.Muda ndiyo unaoongea
 
Shida ajira baba Lipumba? PM me for placing that befits taaluma yako babaangu Lipumba.
 
Una ushahid na unacho kisema???
haihitaji kuwa na phd kujua kinachoendelea kwanza mikutano ya kisiasa ilikomeshwa mpaka 2020
yeye anafanya tena kwa ulinzi wa polisi wa ccm....... unaweza kusema hii ruhusa kaipatia wapi na kwanini wakati watu walikuwa wanafwatwa hata vyumbani wakiwa wanamazungumzo na kuhangaishwa
 
Mikutano imeruhusiwa kwa ambao si wabunge, madiwani?
 
Chadema wako kimbele mbele eti mboe atapambana na lipumba anachekesha sana mboe kafeli fm six atamuweza somi mikutano ya vyama vya siasa imekataliwa mboe kaufyata ona sasa mnyamwezi anacho kifanya kusini watabaki kusema katumwa huyo haogopi kupigwa maana ni mtetezi wa haki mboe mtetezi wa tumbo lake ukuta uko wapi nilisema ukuta huu ni wa biskut ulivyo mwagiwa maji ukayeyuka hakuna kama lipumba lip lip lipumba
 
Back
Top Bottom