Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,812
Katiba mpya ndio muarubaini wa hii mikanganyiko.
Bunge ndio linatakiwa liidhinishe fedha zote za Serikali ndio italeta ufanisi. Hili la mtu mmoja kufanya yote ndio maana madudu hayaishi.
Bunge ndio linatakiwa liidhinishe fedha zote za Serikali ndio italeta ufanisi. Hili la mtu mmoja kufanya yote ndio maana madudu hayaishi.