Ibada rasmi ya kumuombea Dr. Mvungi - Nov 5, 2013

Ibada rasmi ya kumuombea Dr. Mvungi - Nov 5, 2013

Baba Clara

Member
Joined
May 10, 2011
Posts
94
Reaction score
27
Ndugu watanzania kesho jumanne saa 10:00jioni tutakuwa na ibada kanisa kuu la Mt.Joseph Posta mpya kutafanyika ibada maalum ya kumuombea ndugu yetu Dr.Mvungi ili apate nafuu katika maumivu aliyonayo na Mungu amsaidie apone haraka. viongozi wa dini mbalimbali watashiriki, vyama vya siasa, asasi na watanzania wote tutaungana kesho kwani Katiba mpya inahitaji mchango wake mkubwa.
 
Pole sana Dr.Mvungi,lakini mbona wengine hatujasikia wakiombewa kwa matangazo ivi.
 
sasa wewe rais mtarajiwa ndio umeandika ni nini!? mbna hueleweki!
 
Back
Top Bottom