I am sorry
Member
- Feb 7, 2015
- 16
- 8
Habari.
Ukweli nilisikitika sana nilipopata majibu kuwa nimuathirika wa HIV niliamini sina jipya tena, but with hope waliniambia HIV haizuii kufikia ndoto zangu na hata kuweza kuoa na kusonga mbele na maisha ya kawaida.
Ukweli ni story ndefu mpaka kufikia hapa lakini naamini humu Jamii forums wapo ambao ni affected kama mimi but I should be the first to start.
Kwa sasa nina miaka 30 really looking for fellow positive girl to marry. Please if u think your positive and your a girl Just send me a PM (private message) thats we can contact.
Be blessed and stay safe.
Ukweli nilisikitika sana nilipopata majibu kuwa nimuathirika wa HIV niliamini sina jipya tena, but with hope waliniambia HIV haizuii kufikia ndoto zangu na hata kuweza kuoa na kusonga mbele na maisha ya kawaida.
Ukweli ni story ndefu mpaka kufikia hapa lakini naamini humu Jamii forums wapo ambao ni affected kama mimi but I should be the first to start.
Kwa sasa nina miaka 30 really looking for fellow positive girl to marry. Please if u think your positive and your a girl Just send me a PM (private message) thats we can contact.
Be blessed and stay safe.