I wish bado angekuwa anakipiga kipute..............

Balantanda

JF-Expert Member
Jul 13, 2008
12,476
4,754
Ona anavyomgaragaza Oliver Khan.............




Hakika Okocha alikuwa moto wa kuotea mbali
 
Last edited by a moderator:
kamanda inaniumiza sana roho, nikimkumbuka jay jay okocha, kwanza wakati yupo entranch frankfurt alishawaha mtengua beki nyonga kwa vyenga hahaa. kile kizazi cha akina okocha kanu finidi george, tijani babangida, hakiji tokea tena mpaka sie tufe, ilikuwa balaa
 
kamanda inaniumiza sana roho, nikimkumbuka jay jay okocha, kwanza wakati yupo entranch frankfurt alishawaha mtengua beki nyonga kwa vyenga hahaa. kile kizazi cha akina okocha kanu finidi george, tijani babangida, hakiji tokea tena mpaka sie tufe, ilikuwa balaa

The best player i ever know in Africa!
 
Si mpenzi wa football lakini hii nimeipenda mno!...Hivi hayo nmi mazoezi au juju?
 
Back
Top Bottom