Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
- Thread starter
- #21
kweli alichukuaga watoto ila huyo mdada alienda mahakama ikampa watoto baada ya kupeleka vielelezo vya kuthbtisha mwanaume anawatesa na kuwanyanyasa watoto.Na ilikuwaje mwanaume mkorofi hivyo amruhusu huyo dada aondoke na watoto? Mimi nijuavyo sheria ya Tz mama hana mamlaka na watoto kwa hiyo ninge expect huyo jamaa ang'ang'anie watoto kama njia ya kumrudisha wife. Imekuwaje kamruhusu aondoke na watoto? I am trying to think what kind of a man he is. Kwa experience yangu wanaume makatili kama yeye chakwanza anachofanya ni kukunyang'anya watoto; sasa hapa naona different story!