umeona eeeh?!hahaha sio lazima tupost sredi humu, wengine tubaki kuwa wasomaji, dahh inafikia hadi kutunga ilimradi kupost?
Wewe ni mwanaumeI went through my husband's phone yesterday because of my recent suspicions that he's cheating on me but what I saw on the phone was far worse than what I was expecting to find there. It has practically ruined my life
kiswahili anakijua sana !na huwa anajibu sana post kwenye majukwaa mengine sijui tu kuweka link mi mwenyewe ananibore sana tu!Bora umesema wewe, mana me nazisomaga hata sichangii, mana hatuelewi huyu mtu ni kuwa hajui kiswahili au? Mana wengi wanamshauri kwa kiswahili, haya wengine wanamjibu kwa kingereza kama chake, lkn hata cku moja harudi, akiandika thread ndo imetoka, haeleweki anazifanyia kazi comment anazojibiwa, au akiandika ndo mihasira yake inapungua!!!! Sikia we R.B, tushachoka na thread zako, kama huyo mume c umuache? Kila siku waja na jipya halafu unapotea, nahisi ukirudi tena utasema mtoto niliyemzaa mume wangu kasema hafanani naye, UNABOA
Who told u to go through he's phone?
Gay stuffs,isn't it?
New version ya Natalia