I think I LOVE YOU!

Sio kila occasion doto ni baadhi tu. Hiyo nimeangalia kwenye music library yangu sinayo lakini nitakutafutia :) labda nitaipata :). Msalimie Kurwa mwambie namtakia weekend njema.

BAK mpaka sasa hivi sijawahi kuona umekosa. . .angalau kwa zile zinazokugusa.

Salam zimefika. . na nnamsaidia kurudisha kabla hata hajaniomba. . UWE NA WEEKEND NJEMA PIA BAK!!Kutoka kwangu na kwake.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
ngoja nitizame mechi kwanza.nitakujia baade.najua hukubari kushindwa:biggrin:

Aliyesema nashindana ni nani? Wakushindana nae mwenyewe simuoni.

Nwy kukusaidia, siku hizi ukisoma kitu ukataka kujua chanzo ni kiasi cha kugoogle tu. . . ndio maana hata humu watu hua wanakua busted kwa kuacha kuacknowledge source.
 
Aliyesema nashindana ni nani? Wakushindana nae mwenyewe simuoni.

Nwy kukusaidia, siku hizi ukisoma kitu ukataka kujua chanzo ni kiasi cha kugoogle tu. . . ndio maana hata humu watu hua wanakua busted kwa kuacha kuacknowledge source.
naona umeleta mada mpya enhee....
 
afunguke akati hana mlango wala pazia
yuko wazi tayari


mchukue tu, mie nlimuonja
yuko kama matembele
lo! Kesho yake mbona ulinishushia misifa kibao na maua juu? Acha wivu bana,YOUR TIME IS OVER,nasonga mbele.
Lizzy achana wazushi aisee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom