I think am falling...

I think am falling...

Ehee Mungu nisamehee.
Kuna sister moja nilitafuna huko kanda ya kati miaka ya nyuma. Mwezi ulio pita nimepata barua yake yenye maneno mazuri ndani yake kaniwekea mavuzi yake.
 
Kuna threads nyingine huwa naona ni kujaza server tu...
Mtu anataka ushauri wakati anajijua fika kuwa anafanya maovu na anakiri hivyo...

Kwangu mimi hii ni porojo kama zilivyo porojo nyingine zozote...
 
acheni kuwadhalilisha na kuwahukumu, nao ni binadamu!
...km hutaki laana tafuta ambae sio mtumishi wa Mungu,kwa huyo unajitafutia matatizo/laana.
...kwa ss hutaelewa nachosema
 
we acha tu, hata ile hofu ya Mungu hawana tena.. Zamani nilikuwa nawaheshimu sana na kuwaogopa juu lakini sikuhizi nawaona washkaji tu!
Mungu anisamehe!!!

na akusamehe kwel! ila kumbuka huyo ni sister...na kama majaribu ya kidunia ww ndo umemuifluence na yy kutaka kufanya hvyo! broo hcho unachokifanya sicho...hv huogopi maradhi kingine try 2 respect your girl af jiheshimu ni utoto huo
 
Ehee Mungu nisamehee.
Kuna sister moja nilitafuna huko kanda ya kati miaka ya nyuma. Mwezi ulio pita nimepata barua yake yenye maneno mazuri ndani yake kaniwekea mavuzi yake.

dunia imeisha...wew kama umeamua kumfata mungu mfate kwa moyo! na kama ukiona una hisia bas kuwa just a normal girl jiachie tu but usimshirikishe mungu na anasa za kidunia...ww sista nakwambia hvyo kama unatabia ka hizi! shame u
 
yani sometimes ananipigia simu mwenyewe
majaribu si anayataka mwenyewe

Kwani lazima upokee? Si usipokee,jaribu kukata mawasiliano nae na Mungu atakubariki maana utamsaidia yeye na ataendelea na kazi yake ya kumtumikia Mungu kama kawaida.
 
Kuna threads nyingine huwa naona ni kujaza server tu...
Mtu anataka ushauri wakati anajijua fika kuwa anafanya maovu na anakiri hivyo...

Kwangu mimi hii ni porojo kama zilivyo porojo nyingine zozote...

sijaomba ushauri
 
na akusamehe kwel! ila kumbuka huyo ni sister...na kama majaribu ya kidunia ww ndo umemuifluence na yy kutaka kufanya hvyo! broo hcho unachokifanya sicho...hv huogopi maradhi kingine try 2 respect your girl af jiheshimu ni utoto huo

jaman someni article yote kabla ya ku comment

sister anakaa mkoa mwingine na mim nipo mwingine

tunaongea tu kwenye simu

hatujafanya chochote YET

kma unavojua mapenzi kutokana na kuwa na mawasiliano naye constantly
ndio nikaja na title i think am falling..
Coz nahisi naanza kumpenda
 
Ngoja nikuchokoze!
Kumbe kidole wewe ni me!!!!
Haya badili Avatar haraka sana!
Hujui sisi wengine tunaingia ktk 18 kwa Avatar tu????????
 
Kwani lazima upokee? Si usipokee,jaribu kukata mawasiliano nae na Mungu atakubariki maana utamsaidia yeye na ataendelea na kazi yake ya kumtumikia Mungu kama kawaida.

kama nilivosema hapo awali
i thought it was just a crush
siwezi kukata mawasiliano
coz naanza ku fall
 
Jamani alicho kisema jamaa nami nasimuliwa na rafiki zangu wa karibu kuwa huwa kinawakuta na hubaki njia panda japo wao huwa hawavuki mipaka kama jamaa wakawatongoza! ila hudai wanawatega binafsi sijawahi kutana na kitu hadimu kama hicho japo napata access ya kuzungumza na kuwork au kuzoeana nao ila haya mageni kwangu labda watu wanashindwa kutofautisha mazoea na matamanio ya kimapenzi anayoonyeshwa! naamini mnatudanganya hata rafiki zangu huwa nawambia sisters wanapenda kuinjoy habari zenu za dunia ya pili na kujua jinsi ya kupambana na adui yao shetani kwani shetani na Mungu wote wako kwenye kampeni bila kujua udhaifu wa adui wako huwezi jua jinsi ya kujilinda na ni siraha gani unahitaji!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom