I think am falling...

I think am falling...

kidole007

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
3,094
Reaction score
1,877
basiiiii
niliwahi ku confess kwenye thread moja hapa kuwa kuna nun (sister) mmoja kwenye hospitali (jina kampuni) moja hivi kubwa tu ya dini kwa kweli shez driving me insane.
yani mara ya kwanza nilizani it is just a crush but naona kama kidole mimi naanza kuzama kidogo kidogo mana sister hanitok kichwani.

Nilwah kufanya kazi kwenye hyo hospital on temporary basis tukazoeana tuka badilisha na number za simu

kidole mimi hata sikuchelewa nikamwagia sera kuwa namzimia hatari cha ajabu nilitegema mshtuko wa kufa mtu kutoka kwa sister but wapi sister calmly akanambia si unajua mimi ni sister and its against taratibu za dini yetu?
Jibu niliompa ni kwamba feeling zangu kwake its outta control

tulikuwa na mazoea ya kukutana na kupiga story sister aka kata mawasiliano baada ya mimi kufunguka.

Ikapita miezi mingi tu bila mawasiliano hivi majuzi mungu si athumani tuka kutana mbeya kwenye semina flani
kidole mimi nikakumbushia sister akanambia alimiss story zangu na angependa tuendelee na story tu kula kwa mrs kidole nika kubali( agree to disagree)

siku hizi twaongea kwenye simu tu niko mkoa mwingine na yeye yuko mwingine

twaongea kila stuff( u know what i mean) sometimez na shindwa kumwelewa sister naona kma stak nataka.

Uuwii number one akijua sijui itakuwaje
 
Hhaaa nicheke Heaven mie.........Number one akijua.....na atajua kweliii naona unataka kutafuta number 2

number one unaona hatosh lol ......halafu huyo si sister na hayomambo si hawaruhusiwagi sa

mbona kama ana kuentertain vile
 
Mmmmmhh!! Hebu acheni kuwaingiza kwenye majaribu hao watu walio jitolea kufanya kazi ya Mungu, na wenyewe wana hisia kama sisi atii, basi tu wanakomaa kimtindo
 
Mmmmmhh!! Hebu acheni kuwaingiza kwenye majaribu hao watu walio jitolea kufanya kazi ya Mungu, na wenyewe wana hisia kama sisi atii, basi tu wanakomaa kimtindo


yani sometimes ananipigia simu mwenyewe
majaribu si anayataka mwenyewe
 
Hhaaa nicheke Heaven mie.........Number one akijua.....na atajua kweliii naona unataka kutafuta number 2

number one unaona hatosh lol ......halafu huyo si sister na hayomambo si hawaruhusiwagi sa

mbona kama ana kuentertain vile

haha number one hajui kiswahili na kumhisi sister ngumu sometimes naongea mbele yake akiuliza namwambia sister huyo anakuwa mpole
 
dah...unani inspaya...kumbe hawa masista na wenyewe wamo
 
basiiiii
niliwahi ku confess kwenye thread moja hapa kuwa kuna nun (sister) mmoja kwenye hospitali (jina kampuni) moja hivi kubwa tu ya dini kwa kweli shez driving me insane.
yani mara ya kwanza nilizani it is just a crush but naona kama kidole mimi naanza kuzama kidogo kidogo mana sister hanitok kichwani.

Nilwah kufanya kazi kwenye hyo hospital on temporary basis tukazoeana tuka badilisha na number za simu

kidole mimi hata sikuchelewa nikamwagia sera kuwa namzimia hatari cha ajabu nilitegema mshtuko wa kufa mtu kutoka kwa sister but wapi sister calmly akanambia si unajua mimi ni sister and its against taratibu za dini yetu?
Jibu niliompa ni kwamba feeling zangu kwake its outta control

tulikuwa na mazoea ya kukutana na kupiga story sister aka kata mawasiliano baada ya mimi kufunguka.

Ikapita miezi mingi tu bila mawasiliano hivi majuzi mungu si athumani tuka kutana mbeya kwenye semina flani
kidole mimi nikakumbushia sister akanambia alimiss story zangu na angependa tuendelee na story tu kula kwa mrs kidole nika kubali( agree to disagree)

siku hizi twaongea kwenye simu tu niko mkoa mwingine na yeye yuko mwingine

twaongea kila stuff( u know what i mean) sometimez na shindwa kumwelewa sister naona kma stak nataka.

Uuwii number one akijua sijui itakuwaje

sasa na wewe hapo jifanye pastor
 
basiiiii
niliwahi ku confess kwenye thread moja hapa kuwa kuna nun (sister) mmoja kwenye hospitali (jina kampuni) moja hivi kubwa tu ya dini kwa kweli shez driving me insane.
yani mara ya kwanza nilizani it is just a crush but naona kama kidole mimi naanza kuzama kidogo kidogo mana sister hanitok kichwani.

Nilwah kufanya kazi kwenye hyo hospital on temporary basis tukazoeana tuka badilisha na number za simu

kidole mimi hata sikuchelewa nikamwagia sera kuwa namzimia hatari cha ajabu nilitegema mshtuko wa kufa mtu kutoka kwa sister but wapi sister calmly akanambia si unajua mimi ni sister and its against taratibu za dini yetu?
Jibu niliompa ni kwamba feeling zangu kwake its outta control

tulikuwa na mazoea ya kukutana na kupiga story sister aka kata mawasiliano baada ya mimi kufunguka.

Ikapita miezi mingi tu bila mawasiliano hivi majuzi mungu si athumani tuka kutana mbeya kwenye semina flani
kidole mimi nikakumbushia sister akanambia alimiss story zangu na angependa tuendelee na story tu kula kwa mrs kidole nika kubali( agree to disagree)

siku hizi twaongea kwenye simu tu niko mkoa mwingine na yeye yuko mwingine

twaongea kila stuff( u know what i mean) sometimez na shindwa kumwelewa sister naona kma stak nataka.

Uuwii number one akijua sijui itakuwaje

refa kaweka mpira kati wakati mfungaji kaotea Goddamn..
 
haha number one hajui kiswahili na kumhisi sister ngumu sometimes naongea mbele yake akiuliza namwambia sister huyo anakuwa mpole

Kijana we mbaya number one ana kazi looh mwisho wa siku mtagegedna tu nyie maana.....
 
Kama #one unae sister wa watu umuache miaka800, kwanza we ndo unamu entrtain
 
mmh, watumishi wa mungu mambo yamewafika shingoni

we acha tu, hata ile hofu ya Mungu hawana tena.. Zamani nilikuwa nawaheshimu sana na kuwaogopa juu lakini sikuhizi nawaona washkaji tu!
Mungu anisamehe!!!
 
we acha tu, hata ile hofu ya Mungu hawana tena.. Zamani nilikuwa nawaheshimu sana na kuwaogopa juu lakini sikuhizi nawaona washkaji tu!
Mungu anisamehe!!!

yani kama huyu sister story tunazopiga huwa nasahau kama ni mtumishi wa mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom