Anaitwa Renee Toney mwanamke body builder(mjenga misuli)na mnyanyua vitu vizito.Renee au Rene wanavyomfupisha asili yake ni Brazil lakini ni raia wa Marekani.
Renee mwaka 2006 alitwaa taji la mwanamke mwenye mwili wa misuli kuliko wote.Ilimchukua miaka 20 hivi kutengeneza mwili huo
sijui kama bado ana hisia za kike za mapenzi! mwanaume atakayemuoa huyo itabidi aishi kama 'kanyau' na huyo mama kama 'mfuga kanyau'! hakuna kukohoa hapo! halafu kama bado ana hisia..basi ni hatari sana maana akiwa anakifikia kilele anaweza kumminya mmewe hadi akamfia mikononi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.