I need your help,wataalamu Wa sheria.

mpoko

Member
Apr 23, 2018
7
4
Nilikuwa mpenzi wanguu ambaye tumebahatika kupata mtoto mmoja,mwenye umri Wa miaka miwili na miezi mitano sasa,lkn hivii karibuni niliaachana na mama wa mtoto huyuu lkn mtoto yupo naee ilaa amempeleka kwa ndugu yake na yeye anaishi mwenyewe na nilipomwambiaa kuwa mm namuomba huyooo mtoto nimlee mwenyewe amekataa na kusema atamleaa yeye,wakt mm naonaa yeye Kama hawezi na ndio hi ivyoo kampeleka kwa ndugu yake,hebu mnisaidie wataalamu sheriaa ikoje ili mm nimpate mtoto
 
Akifikisha miaka 7 unaruhusiwa kisheria kumchukua na pia kama yupo chini ya miaka 7 haishi na mama yake unaruhusiwa pia kwa kibali maalum
 
Tafuta mwanasheria akusaidie peleka maombi mahakamani au ustawi wa jamii kuhusu matunzo ya mtoto mahakama ndio inaweza kutoa maamuzi mtoto akae wapi kulingana na interest za mtoto mwenyewe
 
Nenda ustawi wa jamii ukiwa na udhibitisho wa aina yeyote ile kwamba mtoto hakai kwa mama ake na mama ake ameshindwa kumlea,unataka umchukue mwanao
 
Back
Top Bottom