I need relationship advice

I need relationship advice

Wot do u do for a leaving?!...jaribu kutoka jichanganye na watu naona kama unaishi kipekeyako
Najichanganya sana tena sana sema when it comes to men najikuta siwezi kukaa nao sana kwenye relationship
 
Najichanganya sana tena sana sema when it comes to men najikuta siwezi kukaa nao sana kwenye relationship

Then ur very selective wen t comes to men...halaf hao unaokuwa nao ni sababu u find urself very lonely n ukiflirt na mtu mkishakulana ndio akili inarudi
 
Mmm, ni Satan and psychological effects. Waone councillors na mpe Mungu nafasi ya kweli. Tubu dhambi na omba msamaha wa dhati kwa ulio waumiza. Manung' uniko yao ni laana kwako. Understood?
 
Then ur very selective wen t comes to men...halaf hao unaokuwa nao ni sababu u find urself very lonely n ukiflirt na mtu mkishakulana ndio akili inarudi
Kabisa coz kuna muda uwa nawish kupata boyfriend ili anikeep busy hata usiku kuchart or kuongea nae ila sasa ndo siwezi kuwa mvumilivu kwa kukaa nae kwa muda mrefu
 
Sound serious, you need to see a psychologist. Mtu mzima wa kawaida hawezi kuwa na hali kama yako, kuna kitu labda umekiona kwa watu wako wa karibu kimekufanya uwe reserved. What you are doing is to protect your feelings, unaogopa kuumizwa something like that. Una hitaji professional advise and treatment.
Hapa umemaliza kila kitu mkuu sababu hata mimi nimewahi kuwa hivyo na watu wengi wa hivyo huwa wanaogopa kuumizwa so to protect their feelings wanafanya vitu vya ajabu na hawadumu kwenye mahusiano.
 
Kabisa coz kuna muda uwa nawish kupata boyfriend ili anikeep busy hata usiku kuchart or kuongea nae ila sasa ndo siwezi kuwa mvumilivu kwa kukaa nae kwa muda mrefu

Ur friends are in relationshps?!
 
Jipe muda inaonekana unahitaji sana mpenzi hivo yoyote anaekatiza mbele yako unadhani anakufaa kumbe sio.... Ndio maana haudumu nao
Kuna kipindi nilikaa almost mwaka ila hata nilivopata ni yaleyale
 
Pole sana ila jaribu kubadilika siyo maisha mm mwenyewe natamani sana kuwa na mtu lakini inafika wakati nasitaa cjuwi kwa nn najiuliza yaliyonikita ndio chanzo cha yyte, pia kaa jitafakali cn na jaribu kubadilika
 
Back
Top Bottom