Ningependa kupata ushauri kutoka Zoom,mimi npo chuo kikuu ndo naingia mwaka wa 3 nasomea Business Administration in Accounting, session ya jioni,je kama tangazo la kazi limetoka linamtaka mtu mwenye Diploma na me sina Diploma naweza kuapply nikapata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.