siju linaandikwa na 'i' mwisho au lah ila lina maana ya 'rafiki', 'shoga yangu'
wale wanaokenda 'deep' watatoa maoni yao ila kwa mimi na cheusi hivyo ndivyo tulivyo maanisha
Afu na wewe acha kusmoki ungali mdogo hivo kheee!!!!
Si unajua hii mijibaba inayotuma watoto kuwasha sigara? Hapo najaribu kuimpup ipate moto sawa sawa wani nimeshwa kwa jiko la mkaa lol!
Hili neno kwenye bold linmaanisha nini hasa enyi mahayo kwenye bold?
I will sue that jibaba linalokutuma....ngoja niperuzi sijui kifungu gani kitafaa (if at all kipo)
Nisaidie bana inaharibu kifua changu hii mijitu
siju linaandikwa na 'i' mwisho au lah ila lina maana ya 'rafiki', 'shoga yangu'
wale wanaokenda 'deep' watatoa maoni yao ila kwa mimi na cheusi hivyo ndivyo tulivyo maanisha
Afu na wewe acha kusmoki ungali mdogo hivo kheee!!!!
RayB na ww shost ni kama rafiki vile wa kike/mdada ..usije kwenda ita wanaume wenzio shost🙁
Ahaa manake nilikuwa nataka kucheki shosti yangu Masa lol kumbe angenitokea kwenye screen eeh!?
shosti, wewe wa Chrispin, Kaizer, Bigirita sasa who z who.
shost we acha tu hii kitu ikikosekana siku huwa ndefu
shosti unanionea jamani.. me i belong to all mpwaz.i love them all u know,hao uliowataja ni baadhi tu.
rayB usifanye mchezo wewe,mi nilikumiss hadi nikahisi kupagawa..yaani wee acha tu.Lol i missed you yaani kupita maelezo
boss mbona unaguna?nashukuru kunikaribisha Pm.mhh.......
asante kwa ukarimu wako the boss..mi ukini miss njoo pm....
unakaribishwa.......
boss mbona unaguna?nashukuru kunikaribisha Pm.
naja sasa hivi.nakusubiri........