kina CharmingLady, Mentor , KING'asti Asprin 😅😅 @sectretary Bishanga Arabela mimisa Kipaji Halisi ila kuna siku nilikuwa napita enzi hizo, niliumia sana kukuta memba alie kuwa anaitwa Dena Amsi amefariki roho iliniuma sanaaUnanikumbusha MBALI mkuu😒😒
kina CharmingLady, Mentor , KING'asti Asprin 😅😅 @sectretary Bishanga Arabela mimisa Kipaji Halisi ila kuna siku nilikuwa napita enzi hizo, niliumia sana kukuta memba alie kuwa anaitwa Dena Amsi amefariki roho iliniuma sanaa
😅😅 Bro nakukumbuka sana, alafu haukuja kwenye white party ya pale Keb's eeh.. Hivi mzee mtambuzi yupogo wapi .. kuna siku tupo pale kwemye kajiwe kamoja kinondoni kule, na kina zio daughter.. ilikuwa rahaaa sanaaa.. kina Lady furahia kinana mmoja machachali aliitwa Mathematics 😅😅aidiii yako ya zamani?
Bro mie nilikuja Kebby's na siku ile Vin Diesel alikuwepo na Paloma alikuwepo walipendeza sana bila sahahu Madame B, na hata max si alijua. NilikuwepoNyie ndio mliokuwa mnakuja kwa kuficha aidiii...I was one of few mates who showed up at Kebby's, came a bit late...
"Leo tupo hapa pub" ilikuwa Mwananyamala na sio Kinondoni...
Nimepotezana na raia wengi wa wakati huo including Mtambuzi & co, but still in touch with few...
Ilishafanya uharibifu.......just thinking.Nyie ndio mliokuwa mnakuja kwa kuficha aidiii...I was one of few mates who showed up at Kebby's, came a bit late...
"Leo tupo hapa pub" ilikuwa Mwananyamala na sio Kinondoni...
Nimepotezana na raia wengi wa wakati huo including Mtambuzi & co, but still in touch with few...