Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
wewe ndo msanii
Hahaaaaa...nilijua wewe lazima utasema hivyo
wewe ndo msanii
mimi nahisi bht na x gf wanafahamiana.....
Na huyo x gf ni member mzoefu hapa,kaja tu na id nyingine leo..
sasa huku nani msanii? Hebu watajehahaaaaa...nilijua wewe lazima utasema hivyo
sasa huku nani msanii? Hebu wataje
mi naona la busara ni bora mkitongozana kwa pm mkakubaliana na mkiachana muachane kwa pm nahisi kama kufanya hivi ni kujichoresha na kuzidi kujiumiza, embu ona unaanzisha id mpya ili ulete thread then unakuja kuchangia na id yako original huoni unajichora?maoni yangu tu haya
Mi naona la busara ni bora mkitongozana kwa PM mkakubaliana na mkiachana muachane kwa PM nahisi kama kufanya hivi ni kujichoresha na kuzidi kujiumiza, embu ona unaanzisha id mpya ili ulete thread then unakuja kuchangia na id yako original huoni unajichora?maoni yangu tu haya
sijui idd mosi or idd pili????
mimi niko real kama wewe ni msanii ni wewe tena hii thread ina ukweli sema basi tubebii na mimi na wengineo wanajijua.
mimi niko real kama wewe ni msanii ni wewe tena hii thread ina ukweli sema basi tu
Sijataja jina ni maoni yangu tu, si unajua hapa we dare to talk tunavojisikia? au waonaje bahatiusiniambie ndo mpango mzima? wewe una king'amuzi cha kugundua ni ID ya nani au inabaki kudhania tu kama akawida?
Sijataja jina ni maoni yangu tu, si unajua hapa we dare to talk tunavojisikia? au waonaje bahati
ohooo yamekuwa hayo tena!!
anyway you can think whatever pleases you m dear...
haya na Gaijin naye anagahamiana na huyu bibie?
Mimi kuna mwanaharasha mmoja aliwahi nifungulia thread hapa MMU.(unajijua nani)
Aaah Bee watu wapo kwenye kujifurahisha na kujiondolea mchungu wanakereka wengine
Mimi kuna mwanaharasha mmoja aliwahi nifungulia thread hapa MMU.(unajijua nani)
Tukenda nayo tu hivyo hivyo, aliyekuwa aliona upuuzi akasepa. Lol
Lazima uchomekee uchokozi wako...haya bana.
Haya bana kitu gani! Ndo kujishtukia kwenyewe nini? Lol