Dah jumatatu hii nimekaa ki I love you I love you!!!
Natamani kumwambia mtu na nnatamani kuambiwa nakupenda...nakupenda...nakupenda!!
So popote pale ulipo Mr Prince Charming a.k.a Mr Right I LOOOOOVE YOUUUUUUU!!
DA pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiz embu acha bwana... mi nna njaa na I love you we unanisema???
Orait narudi kwa baba mchungaji kwa magoti!!:rain:
Ha ha ha ha mie sitaki bana C...... ataninyonga aka babu.
Mchungaji najua huwezi chomoka yeye ndo father house c..... ni infiii tu ha ha ha usinitaje (akiona hapa CPU nimekwisha)
LIZZY NAKUPENDA SANA,
hutaweza elewa ni jinsi gani ila kwa salamu hii naomba niufikishe upendo wangu kwako.
upendo usio na kipimo,upendo usio na mipaka,upendo usio na unafki,upendo toka ndani ya moyo.UPENDO WA AGAPE.
HAVE A BLESSED DAY!!
LIZZY NAKUPENDA SANA,
hutaweza elewa ni jinsi gani ila kwa salamu hii naomba niufikishe upendo wangu kwako.
upendo usio na kipimo,upendo usio na mipaka,upendo usio na unafki,upendo toka ndani ya moyo.UPENDO WA AGAPE.
HAVE A BLESSED DAY!!