jmchimbadhahabu
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 221
- 112
Nilitamani sana kuchukua degree yangu mlimani,nashukru Mungu aluskia ndoto zangu na mwezi ujao naingia mwaka wa pili.Najisia raha sana kuwa pale mlimani,maisha ni matamu na changamoto ni nyingi piaKaribuni wageni wote under na postgraduate! Kama juhudi zako ndio zimekuleta Udsm,huwezi kudisco kirahisi,Kaza ndio principle yetu hapa katika home ya intellectuals! Karibuni