Halafu nyie mbona mnafatiliana sana? Nikiona comment ya sisy chap Trezo ata reply ๐๐๐Mmmmh
๐ฒ mbona haanzi kwa jina hiloK bana au humpendi ๐
EehHalafu nyie mbona mnafatiliana sana? Nikiona comment ya sisy chap Trezo ata reply ๐๐๐
Mna kitu nyie mtuweke wazi ndugu zenu
Nasshindwa kuamini nikiangalia chatting na vichambo vya lammoyHahaha ๐
Unataka nimwage mchele kwenye kuku wengi sasa jirani ๐๐ฒ mbona haanzi kwa jina hilo
Jirani mwaga tu ila hapana hiyo jina ๐Unataka nimwage mchele kwenye kuku wengi sasa jirani ๐
Sema nitakuwa nimemkosea mdogo wangu, ukute ana kibuzi chake kingine humu kakipanga hana mwanaume humu zaidi yake kumbe kuna lijirani ๐๐๐๐Jirani mwaga tu ila hapana hiyo jina ๐
Asilimia kubwa wanaume tukiwekewa mtego na mwanamke huwa hatutoboi Yani tunajaaga mazima mazima, wanaume emotional control ndogo. Lakini akili kumkichwa lazima ujicontrol lasivyo utakufa vibayaTatizo they've no emotional control, manzi karomantisize kidogo tu kwenye thread jamaa huyo๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Asubiri dirisha la usajili lifunguliwe ๐๐๐Lomoni muelewe jamaa yangu bwana
Anakupenda๐๐
๐ hakuna cha sema wala semaji. Huyo mtu wa hivyo hayupo, amu singo, amu singo ageini, ooh yes amu singoSema nitakuwa nimemkosea mdogo wangu, ukute ana kibuzi chake kingine humu kakipanga hana mwanaume humu zaidi yake kumbe kuna lijirani ๐๐๐๐
Unataka kumponza mwenzio naijua hiyo ๐๐๐๐ hakuna cha sema wala semaji. Huyo mtu wa hivyo hayupo, amu singo, amu singo ageini, ooh yes amu singo
Mwenzangu yupi jirani mbona nipo mwenyewe kumbe nna mtu na simjui?Unataka kumponza mwenzio naijua hiyo ๐๐๐
Wakome,wakae Kwa kutulia๐๐๐๐๐๐๐๐ basi inatosha unakoelekea utaweka na picha kumthibitishia halafu waniibie beibyy wangu ๐คฆโโ๏ธ
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNini sasa?we hujui mjini mipango?Mmmmh
Mke wake wahuni Wana mmezea mate naye Yuko mbaliHeee!! Jamani pole ya nini?? ๐๐๐