BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
nlikuwaga namjibu zombie hivyo hivyo, sasa hivi nkimuwaza tu natupa skin tait kule.
Soma between the legs upate anachokuambia.
We mpe hela tu
nlikuwaga namjibu zombie hivyo hivyo, sasa hivi nkimuwaza tu natupa skin tait kule.
Soma between the legs upate anachokuambia.
hapo amemsliza kila kitu mzigo atang'oa mapemaaa
skin tyt zinavaliwa bado?mana naona siku hizi wengi ni bikini tu hata kama wamevaa skirt
Kweli tunatofautiana!
Yaani kuna watu mnapenda kudanganywaaaaaa!
Ke ni jasiri sana akikupa kauli kama hiyo! Na ke hawakurupuki pale watoapo kauli hiyo!
Huna njia zaidi ya kuonekana limbukeni!
Kama vipi kamroge!
anakpenda kama bro! Gud. Mualike akutembelee kama sister, mkae kitandan kama ndugu.
Jibu hlo lakukatisha tamaa.!?? Komaa kiume. Argh!.
Kweli tunatofautiana!
Yaani kuna watu mnapenda kudanganywaaaaaa!
Ke ni jasiri sana akikupa kauli kama hiyo! Na ke hawakurupuki pale watoapo kauli hiyo!
Huna njia zaidi ya kuonekana limbukeni!
Kama vipi kamroge!
sie wa kizamani hadi magagulo tunayo.
Bikini nawaachia wenyewe, sijazoea kujif.r.
I love u as ma brother
hilo ndo jibu nililopewa kutoka kwa mrembo niliyemtokea takribani mwezi mmoja uliopita,,
kiukwel imenikata stimu baada ya kusikia ivyo kutoka kwa mrembo huyo.,
nifanyeje wana MMU ili aweze kutengua kauli yake na kuingia ndani ya box.,!
i.a
........sina tena hamu nawe.
sie wa kizamani hadi magagulo tunayo.
Bikini nawaachia wenyewe, sijazoea kujif.r.