Wahi kwa wamasai. hakikisha Wiselady hapati hii habari lakini.haya bwana unapenda utamaduni au kiwestern, nataka niwahi kwa wamasai
Mmh! Hapa hapanifai.
<br />Hehehe njoo kule basi
Unakataa mwaliko wa ikulu?<br />
<br />
bora nilale kuliko kuja kule.
Unamsingizia Rais?<br />
<br />
utanifisadi.
<br />Unamsingizia Rais?
Aaaaaah, i wish........nabisha, hata kiswahili ukiamua kinatulia bana, hebu cheki hii mistari
Mpenzi waniumiza, nionapo macho yako
Hakika yaniliwaza , laini sauti yako
Katu sichoki kuwaza, umbile la mwili wako
Ewe ulienifunza , nathamini pendo lako
Nafurahi nikiona, pepesa za macho yako
wapendeza tena sana, hakuna mfano wako
Kauli mwenzio sina , nichukue uendako
Nikiita lako jina , naisha nguvu mwenzako
Source: Klorokwini
Niendelee au imetosha?
Mmh! Hapa hapanifai.
Hehehe njoo kule basi
<br />
<br />
bora nilale kuliko kuja kule.
Unakataa mwaliko wa ikulu?
<br />
<br />
utanifisadi.
Unamsingizia Rais?
<br />
<br />
raisi yupo fesibuku, hajaqualify kuwa grt thinker.lol.
<br />Nyie madogo,mbona mnaniamsha nimelala....? Punguzeni kelele, ala!
Nimeikopi hii naenda muuzia shigongo aweke kwenye zile hadithi zake ndeeefu, thanks ila kiswahili mhhh sio kama kidhungu