Wapi iyo??Kwa kweli hata mimi nilipita pale 15th May napanda KLM, nilifika saa tatu usiku ila ile foleni ya kuingilia pale hakuna kabisa nilipita moja kwa moja na kwenda kucheck in, nilijiuliza nikadhani labda ni kwa siku ile tu!
If you don't find a way to make money while you sleep, you will work until you die. Warren Buffett.Kazi ni nini?
Mimi naweza kukwambia sifanyi kazi, nimeiacha hela yangu inifanyie kazi, utasemaje?
JNIAWapi iyo??
Ndo hapo sasa huyu mkalamba anahimiza watu wafanye kazi wakati watu washachukua paradigm shift.If you don't find a way to make money while you sleep, you will work until you die. Warren Buffett.
ukielekea wapi?JNIA
Hahaaa,nyumba wapi. Sisi wewe mnashea studio apartment na MMK? Wee subiri tu nakulia taiming utakapoenda kuchukua free food. Nasnatch iyo foodstump yako nakutokomea upande wa pili wa ghetto nakuwacha unalialia
Mkuu kwani ukija likizo na kuondoka kinakuathiri nini?Hata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.
Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.
Acha zipungue tu.
Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.
Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.
Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.
In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).
Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.
Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Hata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.
Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.
Acha zipungue tu.
Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.
Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.
Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.
In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).
Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.
Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Kkkkkk dah! Kweli hali mbayaHata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.
Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.
Acha zipungue tu.
Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.
Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.
Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.
In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).
Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.
Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Kkkkkk dah! Kweli hali mbayaHata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.
Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.
Acha zipungue tu.
Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.
Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.
Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.
In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).
Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.
Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
I told you to Amsterdam flight No KL 569ukielekea wapi?
Kweli kaka,bora mtu uende Spain ukatumie hela yako na kuona beach nzuri kuliko kurudi Tanzania kuja kupata ugonjwa wa moyo….huku Bar zinaanza kuvunguliwa saa kumi jioni..,wanawake, wanaume wote wanavaa madira,hivi sasa ni tabu sana kujua nani mwanamke nani mwanamme,,...Hata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.
Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.
Acha zipungue tu.
Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.
Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.
Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.
In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).
Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.
Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Diaspora wa kulilia 12.5 millionHata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.
Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.
Acha zipungue tu.
Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.
Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.
Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.
In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).
Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.
Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Umetisha broI'm like all races combined in one man; like the '99 summer jam - Nas "Nas Is Like"
Mimi siangalii jukwaa, nachangia uzi. Hata sijui niko jukwaa gani, kwa sababu naangalia latest threads natazama ninayopenda, nachangia.
Naangalia alerts zangu, tags na quotes kutoka kwa watu, nachangia.
Mtu wa watu. Hata Manzese Uwanja wa Fisi na kwa Mfuga Mbwa ukinikuta usishangae.
Ukinikuta Jukwa la Intelligence na argue time does not exists kwa kum quote Dr Roger Penrose kutoka "The Road Ahead: A Complete Guide To The Laws of The Universe" usishangae.
Pia siku ukinikuta thread ya Diamond, Wema na Zari pia usishangae.
Mpaka Tabata Ubaya Ubaya kwenye nyumba ya kuhesabu buibui isiyo na dari na choo cha passport size nishakaa.
Ingawa mtoto wa Upanga na Oysterbay kwetu friji open tena imejaa Swiss chocolate za kutoka Zurich.
Hii nayo kali! Hilo la bar kufunguliwa saa kumi ni ukweli?Kweli kaka,bora mtu uende Spain ukatumie hela yako na kuona beach nzuri kuliko kurudi Tanzania kuja kupata ugonjwa wa moyo….huku Bar zinaanza kuvunguliwa saa kumi jioni..,wanawake, wanaume wote wanavaa madira,hivi sasa ni tabu sana kujua nani mwanamke nani mwanamme,,...
kwasasa bora bakia huko huko uliko, kula maisha kaka
Hahahaha Kanzu ndio madira au? yani we ni chiziiKweli kaka,bora mtu uende Spain ukatumie hela yako na kuona beach nzuri kuliko kurudi Tanzania kuja kupata ugonjwa wa moyo….huku Bar zinaanza kuvunguliwa saa kumi jioni..,wanawake, wanaume wote wanavaa madira,hivi sasa ni tabu sana kujua nani mwanamke nani mwanamme,,...
kwasasa bora bakia huko huko uliko, kula maisha kaka
Tena ukifungua kabula ya huo muda basi ujue unakula na askali wew pamoja na wateja wako...Hii nayo kali! Hilo la bar kufunguliwa saa kumi ni ukweli?
I just noticed in couple of days that Julius Nyerere Internatinal Aiport is not as busy as we used to see in the past. Like today i only saw one International flight. May be someone can also probe.