I just noticed that Julius Nyerere International Airport is not as busy as it used to be

Kwa kweli hata mimi nilipita pale 15th May napanda KLM, nilifika saa tatu usiku ila ile foleni ya kuingilia pale hakuna kabisa nilipita moja kwa moja na kwenda kucheck in, nilijiuliza nikadhani labda ni kwa siku ile tu!
Wapi iyo??
 
nyumba wapi. Sisi wewe mnashea studio apartment na MMK? Wee subiri tu nakulia taiming utakapoenda kuchukua free food. Nasnatch iyo foodstump yako nakutokomea upande wa pili wa ghetto nakuwacha unalialia
Hahaaa,

Yellowman katikawimbo wake "Jamaica Nice" kuna sehemu alisema aliwaona "me haffe laugh, me haffe take it fi a joke".

Na miminaona nicheke tu, naona ni muendelezo wa matatizo yako ya kisaikolojia.

Labda nakupa therapy kujibizana nawe hapa.
 
Hata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.

Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.

Acha zipungue tu.

Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.

Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.

Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.

In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).

Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.

Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Mkuu kwani ukija likizo na kuondoka kinakuathiri nini?
Kutakuwa na utofauti gani na enzi za jakaya?
 
Umeawaokoa mkuu
Hata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.

Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.

Acha zipungue tu.

Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.

Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.

Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.

In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).

Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.

Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
 
Hata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.

Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.

Acha zipungue tu.

Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.

Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.

Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.

In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).

Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.

Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Kkkkkk dah! Kweli hali mbaya
Nalog off
 
Hata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.

Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.

Acha zipungue tu.

Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.

Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.

Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.

In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).

Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.

Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Kkkkkk dah! Kweli hali mbaya
Nalog off
 
Hata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.

Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.

Acha zipungue tu.

Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.

Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.

Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.

In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).

Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.

Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Kweli kaka,bora mtu uende Spain ukatumie hela yako na kuona beach nzuri kuliko kurudi Tanzania kuja kupata ugonjwa wa moyo….huku Bar zinaanza kuvunguliwa saa kumi jioni..,wanawake, wanaume wote wanavaa madira,hivi sasa ni tabu sana kujua nani mwanamke nani mwanamme,,...

kwasasa bora bakia huko huko uliko, kula maisha kaka
 
We have bombardieeeer(in Dr Mahiga's voice) and soon we espect Boeing Dreamliner 787-8
 
Hata wana diaspora wengi kwa sasa tumegoma kuja likizo, tutaenda Jamaica na Turks and Caicos.

Tunaangalia upepo wa sasa upite kwanza.

Acha zipungue tu.

Maana hamna jinsi tena kama alivyojisemea Pinda.

Mimi nime notice watu wa serikali wanasema uchumi unakua sana, lakini mtaani watu hawana hela.

Katika kipindi kifupi sana watu wanaombaomba hela sana, tena hela za ajabu, mtu anaomba mpaka $2.

In the last few weeks mpaka watu ambao kawaida huwa hawaombi hela wanaomba,na simademu tu (hao ndio wengine kabla hata ya salamu wanapiga mizinga).

Yani kuna barometers nyingi sana zinaonesha halini mbaya.

Nisha wa rescue watu watatu kwa $50 za chapchap. Mtu wako anakuomba $2 unaona hata haya kumtumia aliyoomba.
Diaspora wa kulilia 12.5 million
 
I'm like all races combined in one man; like the '99 summer jam - Nas "Nas Is Like"

Mimi siangalii jukwaa, nachangia uzi. Hata sijui niko jukwaa gani, kwa sababu naangalia latest threads natazama ninayopenda, nachangia.

Naangalia alerts zangu, tags na quotes kutoka kwa watu, nachangia.

Mtu wa watu. Hata Manzese Uwanja wa Fisi na kwa Mfuga Mbwa ukinikuta usishangae.

Ukinikuta Jukwa la Intelligence na argue time does not exists kwa kum quote Dr Roger Penrose kutoka "The Road Ahead: A Complete Guide To The Laws of The Universe" usishangae.

Pia siku ukinikuta thread ya Diamond, Wema na Zari pia usishangae.

Mpaka Tabata Ubaya Ubaya kwenye nyumba ya kuhesabu buibui isiyo na dari na choo cha passport size nishakaa.

Ingawa mtoto wa Upanga na Oysterbay kwetu friji open tena imejaa Swiss chocolate za kutoka Zurich.
Umetisha bro
 
Kweli kaka,bora mtu uende Spain ukatumie hela yako na kuona beach nzuri kuliko kurudi Tanzania kuja kupata ugonjwa wa moyo….huku Bar zinaanza kuvunguliwa saa kumi jioni..,wanawake, wanaume wote wanavaa madira,hivi sasa ni tabu sana kujua nani mwanamke nani mwanamme,,...

kwasasa bora bakia huko huko uliko, kula maisha kaka
Hii nayo kali! Hilo la bar kufunguliwa saa kumi ni ukweli?
 
Kweli kaka,bora mtu uende Spain ukatumie hela yako na kuona beach nzuri kuliko kurudi Tanzania kuja kupata ugonjwa wa moyo….huku Bar zinaanza kuvunguliwa saa kumi jioni..,wanawake, wanaume wote wanavaa madira,hivi sasa ni tabu sana kujua nani mwanamke nani mwanamme,,...

kwasasa bora bakia huko huko uliko, kula maisha kaka
Hahahaha Kanzu ndio madira au? yani we ni chizii
 
Hii nayo kali! Hilo la bar kufunguliwa saa kumi ni ukweli?
Tena ukifungua kabula ya huo muda basi ujue unakula na askali wew pamoja na wateja wako...

TBL huko hali mbaya na hao ndo walipa kodi wazuri na tena kodi kubwa na malipo yanafanyika kwa uwazi sjaskia wadeni kuja kudai madeni kisa kodi imelipwa
 
I just noticed in couple of days that Julius Nyerere Internatinal Aiport is not as busy as we used to see in the past. Like today i only saw one International flight. May be someone can also probe.

Likewise Tz economy isn't as great as it used to be, people aren't as free to express their views as they used to be, government critics aren't as safe as they used to be, civil servants aren't as happy with their job as they used yo be, parliament isn't as influential as policy making institution as it used to be, and most importantly the government isn't as inclusive as it used to be....the list goes on and on. We don't know where we are as a country, let alone where we are heading!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom