Inabidi amlaumu Rais Kikwete kwa kumpatia Wizara ambayo ilikuwa juu ya uwezo wake!
Wizara ilimshinda kabisa kuiongoza kiserikali kama mtendaji badala yake akaanza kuiongoza kisiasa.
Hakufahamu kuwa, maumivu ya wananchi wanayoyapata kutokana na manyanyaso na polisi ndiyo itakuwa sumu yake katika kiti cha Uwaziri.
by the way, Rais Kikwete amesitisha vyeo vyao mpaka hapo atakapo rudi na kufanya mambo mengine zaidi, na kwa maana hiyo, Rais anaweza tena kuendeleza vyeo vyao.
Amesitisha au ametengua uteuzi wao? Kuna tofauti hapo. Ila nafikiri Mathayo anaweza kurudi, lakini si hao wengine kwa sababu ya mazingira ya kisiasa, 2014/15 ni karibu muno.