I have no doubt, Dr Nchimbi will bounce back!

I have no doubt, Dr Nchimbi will bounce back!

nimfurahi sana huyu jamaa kutimuliwa...katizameni jimbo lake la Songea lilivyochoka..

huyu staki hata kumsikia ..kanipokonya demu wangu mwanza hivi hivi ....yaani sina hamu naye ....aaah Ngolo mpenzi wangu nirudie basi maana jamaa uwaziri kwishaaa
 
lini hasa nchimbi atafikishwa mahakamani...?
 
wewe ndio mshauri wake sio ...hakuna hapa kurudi tena...
 
Inabidi amlaumu Rais Kikwete kwa kumpatia Wizara ambayo ilikuwa juu ya uwezo wake!

Wizara ilimshinda kabisa kuiongoza kiserikali kama mtendaji badala yake akaanza kuiongoza kisiasa.

Hakufahamu kuwa, maumivu ya wananchi wanayoyapata kutokana na manyanyaso na polisi ndiyo itakuwa sumu yake katika kiti cha Uwaziri.

by the way, Rais Kikwete amesitisha vyeo vyao mpaka hapo atakapo rudi na kufanya mambo mengine zaidi, na kwa maana hiyo, Rais anaweza tena kuendeleza vyeo vyao.
 
Kuwa nje ya serikali kutamcost kimipango 2015 .sasa ajikite zaidi kwenye chama na amuunge mkono mgombea mwenye ushawishi mkubwa ili 2015 awe kwenye baraza jipya and who knows maybe 2025 anaweza akawa na nafasi tena

Dr Nchimbi ni mtu wa mipango sana, there few individuals like him ndani ya ccm .he is well connected na mtandao wowote utamtaka ajiunge nao ..

Dr Nchimbi anaushawishi mkubwa kwa vijana ambao ndo wanaweza kumbeba. Apa ajipange na anagalia utoke vip.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

kapuya kamuangusha
 
Nchimbi amefukuzwa kazi kwa kushindwa kusimamia haki za binadamu. Hili ni kosa la juu kabisa kwa mwanadamu. Na wengi wanaweza kusema kabisa ni Mungu mwenyewe ameamua kuingilia kati maana mikono ya huyu bwana imechafuka.

Alipochukua uongozi wa hii Wizara mambo yalikuwa hovyo, lakini anaondoka Wizara ikiwa mbaya zaidi. Mahusiano kati ya raia na Jeshi la polisi ni mabaya kuliko kipindi chochote.

Hata sijui mnasifia nini?
 
Hao vijana ambao Nchimbi anaushawishi mkubwa ni wa wapi?
Yeye ni mwenyekiti mstaafu wa uv-ccm so anaujua umoja huo in and out . Kwa sasa ni mwenyekiti wa baraza la wadhamini la uv-ccm nafasi aliyokua anashikilia Mh. Lowassa . Dr. Nchimbi anaeshimika sana ndani ya umoja wa vijana wa ccm


Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Ni kweli kabisa yuko well connected katika mitandao ya wauza unga na biashara yoyote haramu.
 
huyu ingekuwa enzi za akina yesu tungemsulubu pale goligota. cha ajabu hukawii kusikiwa kapewa wizara nyingene maana inchi ni ya kishenzi.
 
mipango ipi tusioiona, au ya kunynyasa vyama vya upinzani kwa nafasi aliyokuanayo, au ya kuchakachua kura. mbona jimbo lake lipo kama alivyolikuta yanayofanyika ni yale ata mbunge yyte asiye jielewa anaweza fanya. achen kusifia vitu visivyoonekana kwa watanzania.
 
Kuwa nje ya serikali kutamcost kimipango 2015 .sasa ajikite zaidi kwenye chama na amuunge mkono mgombea mwenye ushawishi mkubwa ili 2015 awe kwenye baraza jipya and who knows maybe 2025 anaweza akawa na nafasi tena

Dr Nchimbi ni mtu wa mipango sana, there few individuals like him ndani ya ccm .he is well connected na mtandao wowote utamtaka ajiunge nao ..

Dr Nchimbi anaushawishi mkubwa kwa vijana ambao ndo wanaweza kumbeba. Apa ajipange na anagalia utoke vip.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Huo ni uwongo labda kama anaye andika hapa ni Nchimbi mwenyewe.Hana ushawishi kwa vijana.Ana ushawishi kwa mabalozi wa nyumba kumi kumi wa CCM ambao huwa anawapa elfu tano tano Songea.Katili asiye na huruma kwa wanachi wake wa Songea.Wewe umefanya wapi utafiti huo?Acha ushabiki wako kama wewe si Nchimbi.Hana sifa hata za uarais.
 
Huyu inabidi afike mpaka ICC maana kushitakiwa na ccm wenzake ni ndoto
 
Kuwa nje ya serikali kutamcost kimipango 2015 .sasa ajikite zaidi kwenye chama na amuunge mkono mgombea mwenye ushawishi mkubwa ili 2015 awe kwenye baraza jipya and who knows maybe 2025 anaweza akawa na nafasi tena

Dr Nchimbi ni mtu wa mipango sana, there few individuals like him ndani ya ccm .he is well connected na mtandao wowote utamtaka ajiunge nao ..

Dr Nchimbi anaushawishi mkubwa kwa vijana ambao ndo wanaweza kumbeba. Apa ajipange na anagalia utoke vip.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Nakubaliana nawe huyu ni mtu wa mipango-ana PhD 2, ameridhia kupandishwa cheo Kamuhanda baada ya yale aliyofanya Ruvuma na kusimamia mauaji ya Mwangosi. Ile kesi ya Mwangosi ndio imeshapotezewa.
 
Kuwa nje ya serikali kutamcost kimipango 2015 .sasa ajikite zaidi kwenye chama na amuunge mkono mgombea mwenye ushawishi mkubwa ili 2015 awe kwenye baraza jipya and who knows maybe 2025 anaweza akawa na nafasi tena

Dr Nchimbi ni mtu wa mipango sana, there few individuals like him ndani ya ccm .he is well connected na mtandao wowote utamtaka ajiunge nao ..

Dr Nchimbi anaushawishi mkubwa kwa vijana ambao ndo wanaweza kumbeba. Apa ajipange na anagalia utoke vip.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

huyu jamaa kila kitu magumashi,ubunge awamu ya kwanza walinunua wapiga kura na kuwafungia na awamu ya pili alimfiti mzee mhaiki,phd magumashi,uwaziri magumashi mwanzo mwisho,nyodo nakujiona kuwa yeye ndiyo mwisho.huo ushawishi alionao ni kwa vijana wa lumumba fc aka buku saba.nchimbi go to heal
 
Hana ku baunc back., huyu Waziri alikuwa na kibri sana akijiona sana yale macho yk akiwaangalia watanzania kwa jeuri sana., yeye na Shamsi waache waende na maji.,
 
dr Jakaya, tunakuomba umlete mtu makini kwenye wizara hii, si vibaya ukamtoa nje ya chama kama wameisha, si unaona akina muhongo, Saada Mkuya wanavofanya vizuri....ikiwezekana teua tena mvike uwaziri bila kuangalia nani ni nani. Hii ni wizara muhimu sana maana ndo usalama wenyewe, Usiwape tena waharamia kweynye wizara hii ya uahi wa mtanzania...
 
Ataibukia kutokea chama cha upinzani CCM...
 
Back
Top Bottom