Rabi's-son
Member
- May 19, 2014
- 27
- 18
kwa wale watalaam wa ku-hack website na database naitaji msaada wenu, nahisi kuna mtu ananidokolea data zangu kupitia utaalam wa kimtandao, kwa yeyote ambae atakua tayari kunipa msaada na kunionesha ni jinsi gani imewezekana kufanyiwa ivi au kama kuna mtu anajua kuna mtaalam flani anaweza nisaidia anisaidie...ntakua tayari kutoa chochote.