I have a baby girl

I have a baby girl

Mungu ni mwema, nimepata mtoto wa kike masaa mawili yaliyopita. Muombeeni mtoto wetu akue mwenye afya njema. Nimefurahi kuwa mama.

Duh... yani unajifungua.... ndani ya masaa mawili mtoto tupa kule, we unawahi JF!!

Hivi ndani ya masaa mawili maumivu yanakuwa yameshaisha enh??

Ama kweli wazazi wa dotcom nimewavulia kofia. Usisahau kutuwekea na kapicha ka bebigelo wetu na ya babaake....

cc wamama wa kale BADILI TABIA, Kongosho, gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Duh... yani unajifungua.... ndani ya masaa mawili mtoto tupa kule, we unawahi JF!!

Hivi ndani ya masaa mawili maumivu yanakuwa yameshaisha enh??

Ama kweli wazazi wa dotcom nimewavulia kofia. Usisahau kutuwekea na kapicha ka bebigelo wetu na ya babaake....

cc wamama wa kale BADILI TABIA, Kongosho, gfsonwin

nina hakika mkuu fb kashazijaza tayar picha
 
Last edited by a moderator:
Duh... yani unajifungua.... ndani ya masaa mawili mtoto tupa kule, we unawahi JF!!

Hivi ndani ya masaa mawili maumivu yanakuwa yameshaisha enh??

Ama kweli wazazi wa dotcom nimewavulia kofia. Usisahau kutuwekea na kapicha ka bebigelo wetu na ya babaake....

cc wamama wa kale BADILI TABIA, Kongosho, gfsonwin

wee chezeya kuzaa hasa kama ulikuwa huna uhakika?
miemba za siku bwana mtihan sana ukiona umebeba adi kufikisha term basi inabidi ufurah sana na nafkir njia ya kuonyesha furaha ni kurahatupikemo humu
 
hongera aiseee....wanasema kulea mimba si tabu .....tabu kulea mwana.......Mungu akusaidie umlee mtoto wetu vzuri.....

ukitoka hospital mpeleke kanisani kama mkristu...kamkabidhi kwa Yesu.....au kam muislam basi mpeleke msikitini......

Waislam huwa hawapeki mskitini...wanapeleka Madrassa
 
He he he, vere soon wataanza kuzaa live wakiwa JF. Yaani mtu anajifanyia Breaking NEws harakaharaka.

Duh... yani unajifungua.... ndani ya masaa mawili mtoto tupa kule, we unawahi JF!!

Hivi ndani ya masaa mawili maumivu yanakuwa yameshaisha enh??

Ama kweli wazazi wa dotcom nimewavulia kofia. Usisahau kutuwekea na kapicha ka bebigelo wetu na ya babaake....

cc wamama wa kale BADILI TABIA, Kongosho, gfsonwin
 
Duh... yani unajifungua.... ndani ya masaa mawili mtoto tupa kule, we unawahi JF!!

Hivi ndani ya masaa mawili maumivu yanakuwa yameshaisha enh??

Ama kweli wazazi wa dotcom nimewavulia kofia. Usisahau kutuwekea na kapicha ka bebigelo wetu na ya babaake....

cc wamama wa kale BADILI TABIA, Kongosho, gfsonwin

atamkabidhi au amemkabidhi tayar!
masaa mawili tu yamepita na tayar huku kaleta habar huko church/msikitin kawajuza saa ngapi!
huyo ndo tayar mtoto wa medias

He he he, vere soon wataanza kuzaa live wakiwa JF. Yaani mtu anajifanyia Breaking NEws harakaharaka.

Hamjui furaha niliyo nayo mie ndo maana mnasema hivyo...hivi unajua ukibeba mimba mawazo unayokuwa nayo kichwani ni yapi...am the happiest mother niacheni nifurahi Jamani!
 
Back
Top Bottom