I hate this

I hate this

kwani akiona hizo sms anakuuliza au. vp dada
 
Eeh! Sasa mbona kama anatishia kujamba huyo?

Mwambie aache kukufatilia kama hana interest nawe
 
Hivi haya mambo ya kufuatiliana maana yake nini!!
 
Huna haja ya kuavoid
..

Dawa ni kuchat kimahaba na mwanaume mwingine

Si anapenda kusoma msg zako? Ndio azisome vizuri



Me na yeye tuna complicated relationship, ana act like he's not interested with me,he doesn't care whatever I can decide for him ila ananifatilia kiupande wa mawasiliano....anaona kila chat ya whatsapp na text za kawaida,how can I avoid this?!!
 
Me na yeye tuna complicated relationship, ana act like he's not interested with me,he doesn't care whatever I can decide for him ila ananifatilia kiupande wa mawasiliano....anaona kila chat ya whatsapp na text za kawaida,how can I avoid this?!!

Huyo bado anakupenda ndio maana anakufuatilia au labda mpo wawili au zaidi sasa anajaribu kucompare kwa kuwapima kuwa amchukue yupi kati yenu,vp ulishampa mzigo lakini?
 
Back
Top Bottom