Nikiamka ni mtu wa kwanza kumfikiria, nikilala ni mtu wa mwisho kumfikiria!
Ndoto zangu nyingi ni juu yake!
Nisiposikia sauti yake naumia!
Nisipopata SMS nakasirika!
Sina nguvu za kucontrol hisia zangu na sina uwezo wa kumficha ninavyojisikia!
It hurts so much that we are apart, ninaumia sana ninapotaka kukumbatiwa lkn naishia kukumbatia mito.
Nahisi ninaact like a school girl in love while l am a mature woman; nifanyaje?
I am in love n it is costing me. Nashukuru lkn, l am going to work on ushauri wenu ili niweze kujitambua tena!I thought haumpendi, kumbe ur in love! na yuko mbali? imajine anakuambia he is no longer in relation? Majibu yake = bora uendelee kuwa unavyojisikia na ilivyo sasa kuliko ikiwa negative..poa mie nilikuwa napita tu
My dear hua inatokea but trust me with time mambo yatabadilika, 5 months bado mpo kwenye stage ya mwanzo na hivi mnakaa tofauti hata mapungufu yake bado hujayajua.
Niliwahi kupenda hivyo kipindi cha nyuma bt baada ya kuumizwa nimeshika adabu siku hizi hua natumia akili zaidi kuliko moyo na sijawahi kupenda wala kumtrust mtu kwa zaidi ya 60% tena.
Kwasababu tunajiaminisha kuwa hata tukivurunda mnasamehe fasta. Hamna jinsi. Kuanguka mapenzini ndo kama hivyo ufanyavyo. Kupenda ni kumtrust, kumheshimu, kumjali na kumpa nafasi. Penzi ni both way traffic bana, nipe nikupe in equal weight.
gfsonwin nina miss maushauri yako in here shosti.
Thanks dearest gfsonwin, nashukuru kwa assuarance na angalizo.
Yeye sio mtu wa kujieleza sana na zaidi hana free time kama mimi, na hiki kitu ndicho chanitesa. But we talk about it na anajitahidi anapopata nafasi.
Haya nikuache kwa amani uendelee kufurahia fungate lenu. Make the most of it dearest.
now i know you..............
Duh, FirstLady1 aisee wantisha. Lkn mimi ya kwangu sio far kihivyo ni TZ hii hii. Na pia at his age na mine sidhani anaweza ashindwe kuniambia kwamba he has stopped loving me. Sidhani!
I am glad you are over that na imebaki kusimulia tu.
gfsonwin umesema vyema, nami nafikiri people with few words wana quality yao pia hasa ikiambatana na matendo zaidi.
Nashukuruni kwa kuendelea kunitia moyo galfriends!