Mkwai
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 306
- 96
Ni masaa manne toka nimeingia benki, nasubiria cheki ihakikiwe, sababu wananiambia kwa kuwa cheki ni ya tawi lingine. But 4 hours and I'm still waiting?? Muda ambao ningetumia kwenda kurudi kwenye tawi la cheki hiyo is less tha 2 hours, I still dont understand what is holding my check, everytime i am asking, they are telling me to wait. .... :angry: