Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
ana mengi ya kujifunza, alilia mpini ulovunjika?
Unalo hapo mamkubwa???!!!
Unalo hapo mamkubwa???!!!
Sababu wanakuwa cared left right and centre halafu anakuwa free mara bibi mara babu ooonh anko sijui antie yaani boyanti flani hivi hii inampa piece of mind na good brain development!!!!
Ukiweka na lishe bora aaaaanh kazi kwako ada tu na kuulizwa maswali mpaka mengine unaona kama katumwa!!!!!
Labda wanachomwa sindano za ganzi!
Hawachoki?
Hawapati usingizi
Nyuzi haziumi
Hawa...enh ngoja ninyamaze!
Je niende kwa mama yake ajue kua ana mjukuu??kwa taarifa tu.Pleasure!!!!
kitu gani?mimi nitakuwa baba yake wa hiyari njoo tumtunze binti yetu
NAJUA NITAKAVYOJILIPA KWA MATUNZO YA HUYO MTOTO MAANA NAJUA MIMI NITAKUWA BABA NA WEWE MAMA KWAHIYO WEWE UTAKUWA MKE WANGU BILA SHAKA KUNA KITU NITANUFAIKA NACHO
hizi nyege za uzazi tu. Ushatoka hospital?
Maswali mengine bhana, asa angeanzisha thread akiwa wodini.
Leo ndo nimeamini kumbe kweli K zinatofautiana size. Kuna jamaa aliwahi nambia mzazi mwenzie alikuwa K kubwa kiasi kwamba muda wa kujifungua hana haja ya kwenda spitali. Akikohoa tu, katoto kuleee. Kesho mzigo kama kawa.
hata mie naijua hiyo dawa, iko kwa ndodi.
Je niende kwa mama yake ajue kua ana mjukuu??kwa taarifa tu.
Mimba yetu ijayo usisahau kuinunua.
Hahahahahaha
Napendaga wadhungu wakisema "we are pregnant"
ushasahau mi mume wenu ni mzungu wa Lombo?
Kongosho nilitamani kukuita saa nying nikijua with sweet talks atakaa kweny mstari!
Yani hakajui vitu vingiiiiiiiiii af sijui hii akili/wazo /guts anatoa wapi!
OLESAIDIMU kudos blaza
Nakuona unavyokomaa ankali!
Mimba yetu ijayo usisahau kuinunua.
Maswali mengine bhana, asa angeanzisha thread akiwa wodini.
Leo ndo nimeamini kumbe kweli K zinatofautiana size. Kuna jamaa aliwahi nambia mzazi mwenzie alikuwa K kubwa kiasi kwamba muda wa kujifungua hana haja ya kwenda spitali. Akikohoa tu, katoto kuleee. Kesho mzigo kama kawa.
Nimeshindwa kumuelewa !Namshangaa, huyo mtoto alimpataje bila maumivu?
Yaani ningekuwa mie nongekuwa nakikodolea kichanga changu happly after ever.
Nimeshindwa kumuelewa !
Mtoto wa kwaaanza!
Nilikuwa najiwazia tu enh hiv huyu katoka tumboni mwangu?
Nimeweza kweli kupush?
Kananyonya matiti Yang?
Tukucha tule,nikikumbuka the moment wananipa mwanangu uuuuuuwih!.,
Au siku hizi watoto wananunuliwa kweli baharini?
Namshangaa, huyo mtoto alimpataje bila maumivu?
Yaani ningekuwa mie nongekuwa nakikodolea kichanga changu happly after ever.