I dont want it

I dont want it

Umeona eeh, watu wanakataliwa na bwana na wazazi lakini wanasongesha maisha tu

umenikosha sana maana asione watu wako kimya humu akajua ye ndo wa kwanza kukataliwa!ila mtoto kwanza mengine baadae
 
dada mkubwa kipindi wanakupa firstborn umshike nawe ulikua kwenye hii situation ya kuwaza mtoto hana baba
Mtoto Wangu wa kwanza nilimpata nikiwa home my dear!
Nikaja kuolewa five yrs after!
Ndo mana hata we we siku ile sikukuelewa sweetie!
 
acha kabisa, mie nlivyomuona alinichekesha.

afu nikasikia upendo wa agape wa ajabu, nikawa nazunguka kitanda kama mtetea, kumnyanyua siwezi naona ntamnyofoa.

Asingekuwa nesi kunikuta, ningefanya ya ajabu.Nlitaka kumvalisha taksido nesi akapiga mayowe, niko bize vibaya siwezi hata kulala, dunia ndio ilizaa siku ile.

Acheni festi boni wapendwe, wana nafasi kwa kweli na memoriz kibao.

Nimeshindwa kumuelewa !
Mtoto wa kwaaanza!
Nilikuwa najiwazia tu enh hiv huyu katoka tumboni mwangu?
Nimeweza kweli kupush?
Kananyonya matiti Yang?
Tukucha tule,nikikumbuka the moment wananipa mwanangu uuuuuuwih!.,
Au siku hizi watoto wananunuliwa kweli baharini?
 
Aaaand Suprise sikuwahi kuwaza kuwa mtoto Wangu hana baba!
Why shud I ?
Nilimtoa mtini?
My baby had me!
Nilitosha kabisa kumpa nilichotaka akipate!.
 
Last edited by a moderator:
acha kabisa, mie nlivyomuona alinichekesha.

afu nikasikia upendo wa agape wa ajabu, nikawa nazunguka kitanda kama mtetea, kumnyanyua siwezi naona ntamnyofoa.

Asingekuwa nesi kunikuta, ningefanya ya ajabu.Nlitaka kumvalisha taksido nesi akapiga mayowe, niko bize vibaya siwezi hata kulala, dunia ndio ilizaa siku ile.

Acheni festi boni wapendwe, wana nafasi kwa kweli na memoriz kibao.
Enhrnhenhenhe kwa kweeeli!
Kukanyanyua unaona katavunjika kukaacha unaona hukatendei haki!
Matiti yanauma upo tu kutaka kanyonye!
Mweeeee eti sa hiz nalipa ada ya sekendare!
 
acha kabisa.

Mie hapa nlikuwa naswalikwa mambo ya uchaguzi next year, nani nampa nafasi sana.

Top 4 yake ya wagombea wa uraisi, nimeishia kucheka tu.

Nimesimuliwa mambo hapa, nikacheka tu.
Enhrnhenhenhe kwa kweeeli!
Kukanyanyua unaona katavunjika kukaacha unaona hukatendei haki!
Matiti yanauma upo tu kutaka kanyonye!
Mweeeee eti sa hiz nalipa ada ya sekendare!
 
acha kabisa.

Mie hapa nlikuwa naswalikwa mambo ya uchaguzi next year, nani nampa nafasi sana.

Top 4 yake ya wagombea wa uraisi, nimeishia kucheka tu.

Nimesimuliwa mambo hapa, nikacheka tu.

Hahahahaha watoto wanakua too fast!
Too fast
 
Kaunga ukuje huku!
Nataka yale manondo yako kwny kesi kama hizi
 
Last edited by a moderator:
Habari,nashukuru mungu jana nijifungua salama mtoto wa kike ila baba yake kaniambia i dont want it and i have nothing to do with it.Nimelia sana nimeumia sana sijui hata nifanyaje mwenzeni anadai kua kwa nini siku mwambia mapema kua mimi ni mjamzito nikweli siku mwambia mapema sababu sikutaka kumtisha na sikutaka afikiri nilitaka kupata mimba kwa kili nilipopima the test always came negative mbaka nilipoamua kuenda hospitali.Sikuitoa sababu kwa imani niliyo nayo kwa mimi si kitu rahisi.Nimejaribu kumuelewesha,kumuomba na kumbembeleza pia lakini waapi kabadirika sio yule tena.Kumpenda na mpenda sana yani nashindwa kuelewa nifanyaje sasa nimemuomba basi tusaidiane kulea mtoto nakubali relationship iishe mtoto sio wangu peke yangu.Siku zote nilikua careful yani hata siku iliyokua safe sikutaka akojoe ndani sasa sijui what happened. Nampeda sana na natamani tungelea binti yetu pamoja kama kuna uwezekano.Jamani members wa humu naomba mniambie nifanyaje na nimuambie ni nini huyu mtu maana mimi maneno yameisha also mnishauri nifanyaje am really hopeless right now.I wish ningekua na maneno makali ya kumgusa moyo wake.kejeli na matusi sitaki..
Kukojoa ndani.,..hebu fafanua
 
me nakutakia malezi mema hata kama baba amezingua wew fanya jitihada uweze kumlea mtoto vizur
 
Habari,nashukuru mungu jana nijifungua salama mtoto wa kike ila baba yake kaniambia i dont want it and i have nothing to do with it.Nimelia sana nimeumia sana sijui hata nifanyaje mwenzeni anadai kua kwa nini siku mwambia mapema kua mimi ni mjamzito nikweli siku mwambia mapema sababu sikutaka kumtisha na sikutaka afikiri nilitaka kupata mimba kwa kili nilipopima the test always came negative mbaka nilipoamua kuenda hospitali.Sikuitoa sababu kwa imani niliyo nayo kwa mimi si kitu rahisi.Nimejaribu kumuelewesha,kumuomba na kumbembeleza pia lakini waapi kabadirika sio yule tena.Kumpenda na mpenda sana yani nashindwa kuelewa nifanyaje sasa nimemuomba basi tusaidiane kulea mtoto nakubali relationship iishe mtoto sio wangu peke yangu.Siku zote nilikua careful yani hata siku iliyokua safe sikutaka akojoe ndani sasa sijui what happened. Nampeda sana na natamani tungelea binti yetu pamoja kama kuna uwezekano.Jamani members wa humu naomba mniambie nifanyaje na nimuambie ni nini huyu mtu maana mimi maneno yameisha also mnishauri nifanyaje am really hopeless right now.I wish ningekua na maneno makali ya kumgusa moyo wake.kejeli na matusi sitaki..

Hongera sana. Jipe moyo utashinda mama.
 
Back
Top Bottom