I DENNIS ROBERT SHUGHURU am not play by the rules

I DENNIS ROBERT SHUGHURU am not play by the rules

Kwahiyo unawaammbia watu wkuchague Ili uwe diktera,

Kidole chako Cha mwisho kiwe kikubwa kuliko kiuno chako?

Kwamba wakikuchagua, wataipata taabu mara mia zaidi kuliko uongozi uliotangulia?
Kwani Rehobohamu alikuwa dikteta
 
Kwahiyo unawaammbia watu wkuchague Ili uwe diktera,

Kidole chako Cha mwisho kiwe kikubwa kuliko kiuno chako?

Kwamba wakikuchagua, wataipata taabu mara mia zaidi kuliko uongozi uliotangulia?
Ebu nionyeshe mstari wa biblia unaosema Rehobohamu alikuwa dikteta
 
Ni kosa kwa wewe ambaye unawaona wengine mavi ila wewe ndio una akili sana. You should seek medical help for mental issue.
Ni wapi nimesema watu wengine ni mavi ebu nionyeshe
Yes am proud kusema naakili hata wewe hujakatazwa kwa hiyo usikasirike watu wengine wakitumia haki yao
 
Ni wapi nimesema watu wengine ni mavi ebu nionyeshe
Yes am proud kusema naakili hata wewe hujakatazwa kwa hiyo usikasirike watu wengine wakitumia haki yao
Haki ipi ? Ya kutafuta attention .. ? Unadhan urais ni kuamka asubuhi na unakua rais kama unakunya . ..embu endelea na uwinga hapo kariakoo usitusumbue.
 
Haki ipi ? Ya kutafuta attention .. ? Unadhan urais ni kuamka asubuhi na unakua rais kama unakunya . ..embu endelea na uwinga hapo kariakoo usitusumbue.
Mbona unahamisha magoli tena
Nionyeshe sehemu niliyowaita watu mavi

Mimi ni winga na najivunia na kamwe sio aibu usifikiri kuniambia winga ntakasirika hapana
 
Mkuu una kitu cha ziada na kikubwa sana. Keep it up. Positive mental attitude yako ni amazing.
..tatizo la mental health linazidi kua kubwa kila kukicha na serikali haijaliweka kwenye alert ..mtu anaamka asubuhi anataka kua rais 😂😂😂 mara ana akili sana . ..Marais hawajisemi kwenye mitandao ...hii ni mental case ...
 
..tatizo la mental health linazidi kua kubwa kila kukicha na serikali haijaliweka kwenye alert ..mtu anaamka asubuhi anataka kua rais 😂😂😂 mara ana akili sana . ..Marais hawajisemi kwenye mitandao ...hii ni mental case ...
Ndo maana nimesema i am not playing by the rules
 
Inapendeza kuona Rais wetu wa JF unanufaika na zao la bangi nchini.... hakika wewe ni Rais wa mioyo ya wala ganja.
 
Back
Top Bottom