Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Tatizo la CCM bado wana siasa zile za enzi ya kudai uhuru!!
Siasa hizi ni za mtindo wa kushambulia mtu si Sera/hoja. Mtindo huu wamerithi kutoka kwa wakoloni. kwa CCM ukiwapinga wanaanza kukushambulia wewe badala ya kushambulia hoja zako.
Mtindo wa kushambulia mtu badala ya hoja zake zinapatikana katika watu wenye moja au baadhi ya sifa hizi:-
1. Wezi/corrupted mind[crooks/thieves]
2. wenye IQ ndogo inayokaribia kwenye ukichaa/utaahira
3. Madikteta
Je, CCM wana sifa ipi kati ya hizo Tatu?
Siasa hizi ni za mtindo wa kushambulia mtu si Sera/hoja. Mtindo huu wamerithi kutoka kwa wakoloni. kwa CCM ukiwapinga wanaanza kukushambulia wewe badala ya kushambulia hoja zako.
Mtindo wa kushambulia mtu badala ya hoja zake zinapatikana katika watu wenye moja au baadhi ya sifa hizi:-
1. Wezi/corrupted mind[crooks/thieves]
2. wenye IQ ndogo inayokaribia kwenye ukichaa/utaahira
3. Madikteta
Je, CCM wana sifa ipi kati ya hizo Tatu?