- Thread starter
- #81
Jump over!!Too long unnecessarily
Jump over!!Too long unnecessarily
Aisee umesomaga somo la history nini !!!maana ndefu sana
sasa umwambie mchumba wako ili iweje kwa mfano ajue ulivyochepuka??matatzo mengine mnajitatutiaga tu
Kweli mkuu.We All bare very painful stories ndani ya mioyo yetu, wote tumeshajiweka kwenye risks nyingi Sana. Tunaokolewa kwa Neema tu
Si mchezo mkuu

aje amalizie bana....Stelingi kazingua , muv imeisha kezembe
Hata ingeingia still usingeupata,
Maana alikua kashalainika, maeneo chapa chapa, hapo wateleza tu mdogo mdogo hakuna kutumia Nguvu, hao virus wangebaki kule kule tu

interesting... Sijui zahaki aliishia wapi.Pole sana mkuu
Kuna namba hapa ya demu wa suti anakaa hostel za malimbe... Nlikuwa naanza kumfukuzia ila baada ya kusoma hii nimefuta namba yake



