I decided not to kill you

I decided not to kill you

Kapime baada ya mwezi mmoja. Halafu baada ya mwezi mwingine. Kama anatumia dawa na anatumia ipasavyo, hata mngefanya isingekuwa na shida.

Huna haja ya kumwambia mchumba wako kilichotokea. Ukweli mwingine utakuweka huru lakini sio huo. Kuhusu jigijigi, mwambie mchumba wako umeambiwa na Dr. una UTI kali na kwa sasa unatumia dawa. Kuna UTI ambayo unaweza ukatumia dawa hata miezi mitatu.
 
Waiting for the Time!!
Kwani ni muda gani umepita tangu yamekutokea hayo,, kama mwezi mmoja tayari nenda tu ukapime usisubiri miezi yote mitatu , kwani vipimo vinavyotumika sasa ivi vina detect maambukizi mapya kwa muda wa mwezi mmoja tu, na sio mitatu kama zamani, so usjipe stress kwa kipind chote hicho,
 
Duuu mii ngoja nifanye mchakato w kula kwanza narud unisubir hpo hpo
 
Aisee pole sana inaonyesha wewe ni mtu mwema sana ibilisi alikubana tu. kwa maelezo yako Mungu akusaidie uwe salama na usirudie
 
Angekuua tu...shubaaamit!!
Mungu alikupa hekima ya kumkataa na ukafanikiwa kujiepusha nae tena unakuja kumtafuta na kumtamani...aisee!!

shukuru sana huyo dada alikupenda kweli la sivyo angekufanyia kusudi tu akuache uingie,

mwanzoni nimependa msimami wako lkn umekuja kuharibu baada ya kumUnblock na kumkaribisha nyumban kwako,

halafu pia hujamfanyia vyema mpenzi wako na heri usimwambie tu maana utamuumiza na kumuweka ktk wakati mgumu, just imagine ndo yy aje akupe habari kama hyo ungefanyaje...??

Wanaume tupunguze tamaa za kijinga wakati mwingine...sisi ni wadhaifu sana kwa hawa wenzetu ss tukijifanya wajuaji tutapoteaa.

na muhurumia huyo mke wako mtarajiwa tu kwakweli.
 
"When a HUNTER gets HUNTED" Pole sana, shits happen ila solution ni kusahau hizo mambo na ku move on, hapo umeponea chupu ila ni onyo kwa next time Mkuu.
 
Angekuua tu...shubaaamit!!
Mungu alikupa hekima ya kumkataa na ukafanikiwa kujiepusha nae tena unakuja kumtafuta na kumtamani...aisee!!

shukuru sana huyo dada alikupenda kweli la sivyo angekufanyia kusudi tu akuache uingie,

mwanzoni nimependa msimami wako lkn umekuja kuharibu baada ya kumUnblock na kumkaribisha nyumban kwako,

halafu pia hujamfanyia vyema mpenzi wako na heri usimwambie tu maana utamuumiza na kumuweka ktk wakati mgumu, just imagine ndo yy aje akupe habari kama hyo ungefanyaje...??

Wanaume tupunguze tamaa za kijinga wakati mwingine...sisi ni wadhaifu sana kwa hawa wenzetu ss tukijifanya wajuaji tutapoteaa.

na muhurumia huyo mke wako mtarajiwa tu kwakweli.
WATU SIJUI WANATAKA NINI MAISHANI.WATU WANA MAHUSIANO HUKO BADO WANATAFUTANA SIJAWAELEWA HAWA WATU
 
usimwambie ila hakikisha hamshiriki tendo la ndoa hadi umejiridhisha na afya yako. Kimsingi uwe na amani, huwezi kuambikizwa kirahisi hivo kwa romance, lakini ni vema ujiridhishe kwanza kwa kupima kabla ya kukutana na mchumba wako.

Pia huyo dada amekufanyia uungwana, usimlaumu sana. Ameonesha kujali kwa kweli ukizingatia na yeye ana hisia kama wewe ulivyokuwa nayo.
 
mie ndo maana nipo CHAPUTA sinaa presha na mambo yenu ya kupima pima
 
ulichotakiwa kufanya ni siku ile ile kwenda hospital
wangekupima kama negative wangekuanzishia dozi ya PEP (mwez mzima) inazuia maambukizi ya ukimw kama uliyapata ndani ya masaa 72 so kama uliambukizwa na huyo dada ungekua umepoa

cha msing ni kusubiri hio miez miwili kapime then hakuna hajabya kumwambia mkeo kama utakua umepona au lah kama ni mzma basi endeleeni kama kawaida ili usimpunguzie iman yake kwako bt kama umeathirika ww achana na huyo mchumba wako kimya kimya bila kumpa sababu ili utafakar maisha yako mwenyewe kukwepa pressure ya wanajamii
 
Aisee usiwasikilize hawa watu mwambie na pia mshirikishe katika kupima. I know atakasirika at frist, but kama nimtu mwenye akili na busara she should be able to understand the gravity of the situation and appreciate your honesty.
 
Yani umwelezemchumba wako ulitaka kuchepuka upate relief?

Wakati mwingine mjuage bas kusema na tamaa zenu, mtu humjui mmekutana tu juu juu unamwamini kiasi gani kumwingiza kwako na kumfanyia yote haya, yan maisha yako ulikua unayweka rehani mwenyewe kwa tamaa tu

We unasema tu...hakuna mtihani mgumu kama kubadili maamuzi baada kua ushatoa na nguo kabisa...inawezekana ila ni ngumu ngumu kama mbinu ya uzazi wa mpango ya 'kutoa nje'!
 
Back
Top Bottom