I decided not to kill you

I decided not to kill you

Mhh hili jaribu kubwa sana.Omba Mungu akuepushie hili janga maana ukijaribu kulifikiria unaeza ukakonda hadi ubaki mfupa lol.Funzo kwa vidume vingine achen tamaa za fisi mtakuja kufa kizembe.
 
Aisee usiwasikilize hawa watu mwambie na pia mshirikishe katika kupima. I know atakasirika at frist, but kama nimtu mwenye akili na busara she should be able to understand the gravity of the situation and appreciate your honesty.

Anaweza fanikiwa kwenye hili ila ajue kwa uhakika kabisa THINGS WILL NEVER BE THE SAME kwa yeye na mpenzi,thats if he'll dodge being dumped.
Ye apige kimya,acheki after three months,kama yuko poa aendelee na maisha tu au kama kanasa asiue mtoto wa watu aseme ukweli wa ilivyokua bhaaas.some skeletons are better off in the closets,and ONLY there!
 
Yani umwelezemchumba wako ulitaka kuchepuka upate relief?

You cat be serious! Ni heri ufe na mzigo wako moyon mwako, sababu umeshayasema hapa kiasi kikubwa cha mzigo nahisi kitakua kimekuondokea, na ukithubutu kumwambia hata hiyo ndoa sidhani kama itakuwepo tena

Wakati mwingine mjuage bas kusema na tamaa zenu, mtu humjui mmekutana tu juu juu unamwamini kiasi gani kumwingiza kwako na kumfanyia yote haya, yan maisha yako ulikua unayweka rehani mwenyewe kwa tamaa tu

Kama hakupata wala ww hukuwa na michubuko maambukizi kupata chance ni ndogo sana subiri tu huo muda utimie ukapime ujiridhishe au kama unaona unawaswas sana ungeenda hospital kuna dawa flani ungepewa wakat unakua kwenye window period

Hope utakua umejifunza.
Uyu bwege kagongeza kisawasawa af anatuzuga hapa ndio maana hajiamini
 
Ndio madhara ya hila mkuu. Ww sio muaminifu kabisa yani unamchumba halaf unachepuka? pole sana ila una ubinadamu fulani ongera kwa hilo pia kama pesa ipo tumia DNA ukikuta umeukwaa anza ARVs mapema sana na usirudie tena huo ujinga coz utakuja kumwambukiza mwenzio.
 
Yani umwelezemchumba wako ulitaka kuchepuka upate relief?

You cat be serious! Ni heri ufe na mzigo wako moyon mwako, sababu umeshayasema hapa kiasi kikubwa cha mzigo nahisi kitakua kimekuondokea, na ukithubutu kumwambia hata hiyo ndoa sidhani kama itakuwepo tena

Wakati mwingine mjuage bas kusema na tamaa zenu, mtu humjui mmekutana tu juu juu unamwamini kiasi gani kumwingiza kwako na kumfanyia yote haya, yan maisha yako ulikua unayweka rehani mwenyewe kwa tamaa tu

Kama hakupata wala ww hukuwa na michubuko maambukizi kupata chance ni ndogo sana subiri tu huo muda utimie ukapime ujiridhishe au kama unaona unawaswas sana ungeenda hospital kuna dawa flani ungepewa wakat unakua kwenye window period

Hope utakua umejifunza.
Huyo mwanamke nae chenga tuu.
Sasa kama anajijua sii mzima yanini kwenda chumba cha mwanaume?
Vitu vingine yapaswa kujinyima hata kama mnapendana sana ili kulinda wengine au kuwa wakweli tuu kuhusu huo ugonjwa.
 
Doa kwa mwanamke ni kumwambia umezini nje au afahamu Mlinzi wako. Mahusiano hayatakaa salama tena.
 
Daaah aisee pole sana, kama umeambukizwa usiambukize wengine tafadhali, wengi condom zilishatushinda......
 
Kapime baada ya mwezi mmoja. Halafu baada ya mwezi mwingine. Kama anatumia dawa na anatumia ipasavyo, hata mngefanya isingekuwa na shida.

Huna haja ya kumwambia mchumba wako kilichotokea. Ukweli mwingine utakuweka huru lakini sio huo. Kuhusu jigijigi, mwambie mchumba wako umeambiwa na Dr. una UTI kali na kwa sasa unatumia dawa. Kuna UTI ambayo unaweza ukatumia dawa hata miezi mitatu.
Asante kwa ushauri mkuu
 
Angekuua tu...shubaaamit!!
Mungu alikupa hekima ya kumkataa na ukafanikiwa kujiepusha nae tena unakuja kumtafuta na kumtamani...aisee!!

shukuru sana huyo dada alikupenda kweli la sivyo angekufanyia kusudi tu akuache uingie,

mwanzoni nimependa msimami wako lkn umekuja kuharibu baada ya kumUnblock na kumkaribisha nyumban kwako,

halafu pia hujamfanyia vyema mpenzi wako na heri usimwambie tu maana utamuumiza na kumuweka ktk wakati mgumu, just imagine ndo yy aje akupe habari kama hyo ungefanyaje...??

Wanaume tupunguze tamaa za kijinga wakati mwingine...sisi ni wadhaifu sana kwa hawa wenzetu ss tukijifanya wajuaji tutapoteaa.

na muhurumia huyo mke wako mtarajiwa tu kwakweli.
Ni kweli mkuu.
 
Anaweza fanikiwa kwenye hili ila ajue kwa uhakika kabisa THINGS WILL NEVER BE THE SAME kwa yeye na mpenzi,thats if he'll dodge being dumped.
Ye apige kimya,acheki after three months,kama yuko poa aendelee na maisha tu au kama kanasa asiue mtoto wa watu aseme ukweli wa ilivyokua bhaaas.some skeletons are better off in the closets,and ONLY there!
Of course things won't be the SAME no more but that is not a valid excuse for him to NOT come clean. In fact, I would argue huu usiri ambao watu are encouraging him to maintain is one of the causes that make this disease epidemic. Kama sasa tu anajikanyaga kusema akija kupewa majibu hovyo je!!? Aisee msicheze na maisha ya watu 😡 [HASHTAG]#actionsandconsequences[/HASHTAG]
 
Of course things won't be the SAME no more but that is not a valid excuse for him to NOT come clean. In fact, I would argue huu usiri ambao watu are encouraging him to maintain is one of the causes that make this disease epidemic. Kama sasa tu anajikanyaga kusema akija kupewa majibu hovyo je!!? Aisee msicheze na maisha ya watu 😡 [HASHTAG]#actionsandconsequences[/HASHTAG]
Nakuelewa mkuu
 
Nakuelewa mkuu
Pole kaka yangu (hata mimi ni wa moshi kama nyie) ila wewe mwambie mchumba tu. Also, pray to God that you are well na pia akusaidia liwe fundisho la maisha!
 
Pole kaka yangu (hata mimi ni wa moshi kama nyie) ila wewe mwambie mchumba tu. Also, pray to God that you are well na pia akusaidia liwe fundisho la maisha!
I will...
She is a doctor, na ni mwepesi sana kutake action! Binafsi ninahisi kuna uhuru nitaupata nikimweleza.
much worse I am not ready to loose her.
Itani cost sana mkuu lazima nijipange sana mkuu, nampenda na ana hasira.
 
Duuuuu yaani mtu mzima na ndevu zako, unaogopa eti ukimwi. Kwani huli vizuri? Mazoezi hufanyi? Ukimwi huua wale wanaouogopa
 
I will...
She is a doctor, na ni mwepesi sana kutake action! Binafsi ninahisi kuna uhuru nitaupata nikimweleza.
much worse I am not ready to loose her.
Itani cost sana mkuu lazima nijipange sana mkuu, nampenda na ana hasira.
Not only uhuru, I think pia once you're cleared, you can use the disclosure to mend the broken trust i.e. You can tell her "Swiry, kama nilikuwa sikupendi ama kukuthamini I could've chosen not to let you know na usingejua". (Im sure you know what I am trying to say, lol ) . Ila be ready maana unaweza kuachwa pia.
 
Not only uhuru, I think pia once you're cleared, you can use the disclosure to mend the broken trust i.e. You can tell her "Swiry, kama nilikuwa sikupendi ama kukuthamini I could've chosen not to let you know na usingejua". (Im sure you know what I am trying to say, lol ) . Ila be ready maana unaweza kuachwa pia.
ni kweli, iliwahi kutokea tofauti moja mwaka jana...action aliyochukua iliniogopesha sana
 
Back
Top Bottom