Ok, hata hivyo pole sana,, najua hali uliyonayo kwa sasa jipe muda tu,,,,,ni swala la wakati, nilishasema mapenzi ni dunia nyingine kabisa inayojitegemea,,,,ukiwa katika hiyo hali unaweza kufanya kitu ambacho baadae ukishakuwa vizuri unaweza kuanza kujishangaa mwenyewe,, hebu fikiria kabla ya huyo je hukuwa na mwingine?,,je ilikuwaje wakati mnaachana?,,, naamini kama ulikuwa nae na mkaachana baade ukawa vizuri, naamini hata huyu itakuwa hivyo hivyo,,jichanganye maisha yataenda tu hauko peke yako ni janga la wengi,,,
I love to feel loved but I cant the stand rejection, I tried to a seduce in different manners and techniques but it seems that the fortune is not mine. It seem that I have been running in the wrong direction:sad:
Asante but nyie huwa mnakataa young and adults and go for elders 50+,,for now I think its enoughmhhh pole rfk... mwenzio an tired kutongozwa na married guys na wazee wenye 50+. I want young and adult guys... bt they dnt show up...tired.
Mimi mwanaume bhana,,ukisoma post vizuri utaelewa jinsia so jaribu kuelewa post kabla ya kujibu
Mkuu unaposema level yangu sijaelewa ni katika nyanja zipi labda, kiuchumi,kimaisha,kielimu,kimo ama mwonekano?
I love to feel loved but I cant the stand rejection, I tried to a seduce in different manners and techniques but it seems that the fortune is not mine. It seem that I have been running in the wrong direction:sad: