utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
Last edited by a moderator:
Ila naamini umenielewa ndio maana ukanijibu
:sad::sad::sad::sad::sad:I love to feel loved but I cant the stand rejection, I tried to a seduce in different manners and techniques but it seems that the fortune is not mine. It seem that I have been running in the wrong direction:sad:
Change the startegy. Wood Allen said, Too much rejection causes cancer.
Ni kweli nimesononeka sana,na najihisi labda nina bahati mbaya. I have tried to explain it Mkuu ...tatizo kubwa ni chaga yaani rejection ninapotupa mistari.ebu acha kutafuna maneno try to be open wat happened? maana naona kama vile umesononeka sanaaaa???
Asante mkuu kwa ushauri wako murua,ngoja nijipe moyo pengine kesho yaweza kuwa zamu yangu ingawa kwa sasa nishapoteza kabisa hamu ya kutongoza.Ok, hata hivyo pole sana,, najua hali uliyonayo kwa sasa jipe muda tu,,,,,ni swala la wakati, nilishasema mapenzi ni dunia nyingine kabisa inayojitegemea,,,,ukiwa katika hiyo hali unaweza kufanya kitu ambacho baadae ukishakuwa vizuri unaweza kuanza kujishangaa mwenyewe,, hebu fikiria kabla ya huyo je hukuwa na mwingine?,,je ilikuwaje wakati mnaachana?,,, naamini kama ulikuwa nae na mkaachana baade ukawa vizuri, naamini hata huyu itakuwa hivyo hivyo,,jichanganye maisha yataenda tu hauko peke yako ni janga la wengi,,,
Mkuu unaposema level yangu sijaelewa ni katika nyanja zipi labda, kiuchumi,kimaisha,kielimu,kimo ama mwonekano?kidume jikaze!!acha kulalamika. madem wapo kibao tu ready kumingle. Inaelekea unafanya wrong choices. tafuta madem wa level yako utapata tu. usikimbilie wa level zajuu wenyewe wanapenda wa level zao pia, otherwise upate zali tu ye mwenyewe ndo akudondokee!!. Usipotafuta wa level yako kaka utaishia kupiga punyeto tu kila cku.