I cant stand the rejection

I cant stand the rejection

Molaro

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2013
Posts
818
Reaction score
577
I love to feel loved but I cant the stand rejection, I tried to a seduce in different manners and techniques but it seems that the fortune is not mine. It seem that I have been running in the wrong direction:sad:
 
I love to feel loved but I cant the stand rejection, I tried to a seduce in different manners and techniques but it seems that the fortune is not mine. It seem that I have been running in the wrong direction:sad:

Ungetumia lugha ya Taifa ungeeleweka vizuri zaidi,,,,wakati mwingine unapotoa thread ili usaidiwe inatakiwa ukae utulie na ushirikishe halmashauri ya kichwa chako ili uweze kueleweka mkuu
 
Ungetumia lugha ya Taifa ungeeleweka vizuri zaidi,,,,wakati mwingine unapotoa thread ili usaidiwe inatakiwa ukae utulie na ushirikishe halmashauri ya kichwa chako ili uweze kueleweka mkuu

hahaha hivi hauko kwenye viti virefu kweli wewe
 
Ungetumia lugha ya Taifa ungeeleweka vizuri zaidi,,,,wakati mwingine unapotoa thread ili usaidiwe inatakiwa ukae utulie na ushirikishe halmashauri ya kichwa chako ili uweze kueleweka mkuu
Ila naamini umenielewa ndio maana ukanijibu
 
Ungetumia lugha ya Taifa ungeeleweka vizuri zaidi,,,,wakati mwingine unapotoa thread ili usaidiwe inatakiwa ukae utulie na ushirikishe halmashauri ya kichwa chako ili uweze kueleweka mkuu
Kiukweli mkuu nadhani lugha sio tatizo,nimejaribu kutulia na kuweza kuufikisha ujumbe kwa hadhira,hata hivyo nashukuru kwa ushauri wako
 
Hata simba huwa anakosa mawindo wakati fulani lakini haimaanishi kwamba yeye si mfalme wa pori...

Boys will always be boys...
 
Kabla sijasema chochote, naomba kufahamu jinsia yako kwanza, wewe ni ME au KE?

I love to feel loved but I cant the stand rejection, I tried to a seduce in different manners and techniques but it seems that the fortune is not mine. It seem that I have been running in the wrong direction:sad:
 
Hongera JK naona kata product sasa ziko sokoni.
 
Change the startegy. Wood Allen said, Too much rejection causes cancer.
 
I love to feel loved but I
cant the stand rejection, I tried to a seduce in different manners and
techniques but it seems that the fortune is not mine. It seem that I
have been running in the wrong direction:sad:

ebu acha kutafuna maneno try to be open wat happened? maana naona kama vile umesononeka sanaaaa???
 
Kiukweli mkuu nadhani lugha sio tatizo,nimejaribu kutulia na kuweza kuufikisha ujumbe kwa hadhira,hata hivyo nashukuru kwa ushauri wako

Ok, hata hivyo pole sana,, najua hali uliyonayo kwa sasa jipe muda tu,,,,,ni swala la wakati, nilishasema mapenzi ni dunia nyingine kabisa inayojitegemea,,,,ukiwa katika hiyo hali unaweza kufanya kitu ambacho baadae ukishakuwa vizuri unaweza kuanza kujishangaa mwenyewe,, hebu fikiria kabla ya huyo je hukuwa na mwingine?,,je ilikuwaje wakati mnaachana?,,, naamini kama ulikuwa nae na mkaachana baade ukawa vizuri, naamini hata huyu itakuwa hivyo hivyo,,jichanganye maisha yataenda tu hauko peke yako ni janga la wengi,,,
 
kidume jikaze!!acha kulalamika. madem wapo kibao tu ready kumingle. Inaelekea unafanya wrong choices. tafuta madem wa level yako utapata tu. usikimbilie wa level zajuu wenyewe wanapenda wa level zao pia, otherwise upate zali tu ye mwenyewe ndo akudondokee!!. Usipotafuta wa level yako kaka utaishia kupiga punyeto tu kila cku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom